Nchi karibu zote duniani sasa zinapigana kumbo kuagiza chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona

Nchi karibu zote duniani sasa zinapigana kumbo kuagiza chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
Naam sasa nchi zimeamuka, nchi mbali mbali duniani zinapeleka oda zao kupata chanjo ya CORONA. teyari jirani zetu Kenya chanjo hiyo imetua nchini mwao kwa GULF air majuzi.

Nchi zingine zimeenda mbali zaidi hazitoruhusu wageni kuingia nchini mwao pasi na kupata chanjo hiyo ya Corona

Pia shirika la afya duniani litatoa vitambulisho kwa wale watakao chanjwa ili wasitiliwe mashaka iwapo wataenda nchi nyingine.

Na vile vile kupata visa kuingia nchi nyingine siyo muda mrefu kuanzia sasa litakuwa ni sharti mhimu bila kuchanja no visa

Chanjo ni nini? Chanjo ni tone kidogo sana ambalo mtu hupewa aidha kwa kulamba au kupigwa sindano kwa madhumuni ya kuamsha uzalishaji wa askari wa kulinda mwili zidi ya ugonjwa huo huo, chanjo huwa ni vimelea vya ugonjwa huo huo unaochanjwa dhidi yake ila vimelea hivyo huwa vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara zaidi tu ya kuamsha uzalishaji wa chembe chembe nwilini ambazo hupigana na vimelea vingine ambavyo vinasababisha ugonjwa husika.

Kwenye clinic za mama na mtoto hutolewa chanjo zinazofanana na Corona yaani chanjo zinazokinga magonjwa yanayosababishwa na virus mfano Surua. Hapa nchini watoto wamekuwa wanachanjwa zidi ya ugonjwa wa surua muda kidogo tangu tupate uhuru hadi sasa chanjo hiyo hutolewa clinic zote za mama na mtoto nchini, kwa hiyo suala hilo la chanjo siyo geni.

Pia kuna chanjo ya kichaa cha mbwa. Kichaa cha mbwa husababishwa na virus, mbwa huuguwa na kuweza kumuambukiza binadamu kwa kumng`ata. Ili binadamu asiuguwe huchanjwa chanjo zidi ya ugonjwa huo. Chanjo hiyo ni virus vya ugonjwa huo huo ambapo huwa vimepunguzwa nguvu kiasi haviwezi kuleta madhara hasi zaidi ya kuhamasisha uzalishashaji wa kinga mwilini endapo virus vingine vya ugonjwa huo vikiingia mwilini, na ikumbukwe kwamba kama mtu akiumwa na mbwa mwenye kichaa asipochanjwa akiuugua kifo huwa ni asilimia mia moja.

Kwa hiyo hata chanjo zidi ya ugonjwa wa Corona ni vimelea hivyo hivyo vya Corona ila vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara ya mtu kuugua Corona bali kuhamasisha mwili kuzalisha chembe chembe nyingiii za kupigana na ugonjwa huo. Kwa hiyo mtu akichanjwa chanjo ya CORONA mwili huwekwa teyari endapo ataambukizwa virus vya Corona virus hivyo hupigwa kipigo kikali na chembe chembe kinga na virus huangamizwa haraka bila hata mhusika kujua kama ameambukizwa.

Nimeandika kwa kirefu kupinga wapotoshaji ambao eti wanadai wazungu wametengeneza chanjo ya Corona kwa nia ovu, siyo kweli ni kwa nia nzuri sanaaa. Mpotoshaji mmoja aliweka bandiko lake la upotoshaji MODS wakalitoa haraka sana ila mimi nilibahatika kulisoma na hii hapa ndiyo majibu yake.

Ingekuwa dunia hii tunaishi peke yetu sawa tungeweza tukapuuza chanjo kwa vile tunazitilia shaka ingawaje hatukutilia shaka kikombe cha babu au dawa za kujikinga na Corona toka Madagascar, sasa hatuishi peke yetu inatakiwa tuende sambamba na wenzetu vinginevyo watatutenga, sasa tukitengwa tutakuwa wageni wa nani?

Mungu huwa hajibu maombi bali hujibu jitihada za mtu aliyeomba, unafanya jitihada fulani halafu unaomba mungu abariki jitihada hizo ziweze kuleta mafanikio.

Aksanteni sana Mwenyezi Mungu awabariki.
 
Hata sisi jana tumaezindua Nyungu hospitali ya rufaa wao hawana. Kama wametushinda kwenye soka sisi tumewapiga kwenye bao.
 
Ngoja tuwasikilize Kwanza Kama mwaka mmoja hvi
 
Corona imekuja tofauti sana magonjwa mengine ya kuambukizana...

Hili la chanjo bado halijakaa sawa...
 
Naam sasa nchi zimeamuka, nchi mbali mbali duniani zinapeleka oda zao kupata chanjo ya CORONA. teyari jirani zetu Kenya chanjo hiyo imetua nchini mwao kwa GULF air majuzi.

Nchi zingine zimeenda mbali zaidi hazitoruhusu wageni kuingia nchini mwao pasi na kupata chanjo hiyo ya Corona

Pia shirika la afya duniani litatoa vitambulisho kwa wale watakao chanjwa ili wasitiliwe mashaka iwapo wataenda nchi nyingine.

Na vile vile kupata visa kuingia nchi nyingine siyo muda mrefu kuanzia sasa litakuwa ni sharti mhimu bila kuchanja no visa

Chanjo ni nini? Chanjo ni tone kidogo sana ambalo mtu hupewa aidha kwa kulamba au kupigwa sindano kwa madhumuni ya kuamsha uzalishaji wa askari wa kulinda mwili zidi ya ugonjwa huo huo, chanjo huwa ni vimelea vya ugonjwa huo huo unaochanjwa dhidi yake ila vimelea hivyo huwa vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara zaidi tu ya kuamsha uzalishaji wa chembe chembe nwilini ambazo hupigana na vimelea vingine ambavyo vinasababisha ugonjwa husika.

Kwenye clinic za mama na mtoto hutolewa chanjo zinazofanana na Corona yaani chanjo zinazokinga magonjwa yanayosababishwa na virus mfano Surua. Hapa nchini watoto wamekuwa wanachanjwa zidi ya ugonjwa wa surua muda kidogo tangu tupate uhuru hadi sasa chanjo hiyo hutolewa clinic zote za mama na mtoto nchini, kwa hiyo suala hilo la chanjo siyo geni.

Pia kuna chanjo ya kichaa cha mbwa. Kichaa cha mbwa husababishwa na virus, mbwa huuguwa na kuweza kumuambukiza binadamu kwa kumng`ata. Ili binadamu asiuguwe huchanjwa chanjo zidi ya ugonjwa huo. Chanjo hiyo ni virus vya ugonjwa huo huo ambapo huwa vimepunguzwa nguvu kiasi haviwezi kuleta madhara hasi zaidi ya kuhamasisha uzalishashaji wa kinga mwilini endapo virus vingine vya ugonjwa huo vikiingia mwilini, na ikumbukwe kwamba kama mtu akiumwa na mbwa mwenye kichaa asipochanjwa akiuugua kifo huwa ni asilimia mia moja.

Kwa hiyo hata chanjo zidi ya ugonjwa wa Corona ni vimelea hivyo hivyo vya Corona ila vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara ya mtu kuugua Corona bali kuhamasisha mwili kuzalisha chembe chembe nyingiii za kupigana na ugonjwa huo. Kwa hiyo mtu akichanjwa chanjo ya CORONA mwili huwekwa teyari endapo ataambukizwa virus vya Corona virus hivyo hupigwa kipigo kikali na chembe chembe kinga na virus huangamizwa haraka bila hata mhusika kujua kama ameambukizwa.

Nimeandika kwa kirefu kupinga wapotoshaji ambao eti wanadai wazungu wametengeneza chanjo ya Corona kwa nia ovu, siyo kweli ni kwa nia nzuri sanaaa. Mpotoshaji mmoja aliweka bandiko lake la upotoshaji MODS wakalitoa haraka sana ila mimi nilibahatika kulisoma na hii hapa ndiyo majibu yake.

Ingekuwa dunia hii tunaishi peke yetu sawa tungeweza tukapuuza chanjo kwa vile tunazitilia shaka ingawaje hatukutilia shaka kikombe cha babu au dawa za kujikinga na Corona toka Madagascar, sasa hatuishi peke yetu inatakiwa tuende sambamba na wenzetu vinginevyo watatutenga, sasa tukitengwa tutakuwa wageni wa nani?

Mungu huwa hajibu maombi bali hujibu jitihada za mtu aliyeomba, unafanya jitihada fulani halafu unaomba mungu abariki jitihada hizo ziweze kuleta mafanikio.

Aksanteni sana Mwenyezi Mungu awabariki.
Siyo "zidi " × , neno sahihi ni dhidi √
 
Na hilo ndilo lilikuwa lengo kuu la kutengeneza na kusambaza virusi vya Corona!
 
Nimeandika kwa kirefu kupinga wapotoshaji ambao eti wanadai wazungu wametengeneza chanjo ya Corona kwa nia ovu, siyo kweli ni kwa nia nzuri sanaaa. Mpotoshaji mmoja aliweka bandiko lake la upotoshaji MODS wakalitoa haraka sana ila mimi nilibahatika kulisoma na hii hapa ndiyo majibu yake.
Wewe una uhakika gani kwamba hawajarengeneza kwa nia ovu? Unaweza kututhibitishia hiyo nia nzuri yao kwa mwandishi? Sasa hivi tunavyoongea hapa Wachina wameanza kuingiza mizuho fake ya chanjo za Corona. Ukweli tujiandae tu kupigwa!!
 
Naam sasa nchi zimeamuka, nchi mbali mbali duniani zinapeleka oda zao kupata chanjo ya CORONA. teyari jirani zetu Kenya chanjo hiyo imetua nchini mwao kwa GULF air majuzi.

Nchi zingine zimeenda mbali zaidi hazitoruhusu wageni kuingia nchini mwao pasi na kupata chanjo hiyo ya Corona

Pia shirika la afya duniani litatoa vitambulisho kwa wale watakao chanjwa ili wasitiliwe mashaka iwapo wataenda nchi nyingine.

Na vile vile kupata visa kuingia nchi nyingine siyo muda mrefu kuanzia sasa litakuwa ni sharti mhimu bila kuchanja no visa

Chanjo ni nini? Chanjo ni tone kidogo sana ambalo mtu hupewa aidha kwa kulamba au kupigwa sindano kwa madhumuni ya kuamsha uzalishaji wa askari wa kulinda mwili zidi ya ugonjwa huo huo, chanjo huwa ni vimelea vya ugonjwa huo huo unaochanjwa dhidi yake ila vimelea hivyo huwa vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara zaidi tu ya kuamsha uzalishaji wa chembe chembe nwilini ambazo hupigana na vimelea vingine ambavyo vinasababisha ugonjwa husika.

Kwenye clinic za mama na mtoto hutolewa chanjo zinazofanana na Corona yaani chanjo zinazokinga magonjwa yanayosababishwa na virus mfano Surua. Hapa nchini watoto wamekuwa wanachanjwa zidi ya ugonjwa wa surua muda kidogo tangu tupate uhuru hadi sasa chanjo hiyo hutolewa clinic zote za mama na mtoto nchini, kwa hiyo suala hilo la chanjo siyo geni.

Pia kuna chanjo ya kichaa cha mbwa. Kichaa cha mbwa husababishwa na virus, mbwa huuguwa na kuweza kumuambukiza binadamu kwa kumng`ata. Ili binadamu asiuguwe huchanjwa chanjo zidi ya ugonjwa huo. Chanjo hiyo ni virus vya ugonjwa huo huo ambapo huwa vimepunguzwa nguvu kiasi haviwezi kuleta madhara hasi zaidi ya kuhamasisha uzalishashaji wa kinga mwilini endapo virus vingine vya ugonjwa huo vikiingia mwilini, na ikumbukwe kwamba kama mtu akiumwa na mbwa mwenye kichaa asipochanjwa akiuugua kifo huwa ni asilimia mia moja.

Kwa hiyo hata chanjo zidi ya ugonjwa wa Corona ni vimelea hivyo hivyo vya Corona ila vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara ya mtu kuugua Corona bali kuhamasisha mwili kuzalisha chembe chembe nyingiii za kupigana na ugonjwa huo. Kwa hiyo mtu akichanjwa chanjo ya CORONA mwili huwekwa teyari endapo ataambukizwa virus vya Corona virus hivyo hupigwa kipigo kikali na chembe chembe kinga na virus huangamizwa haraka bila hata mhusika kujua kama ameambukizwa.

Nimeandika kwa kirefu kupinga wapotoshaji ambao eti wanadai wazungu wametengeneza chanjo ya Corona kwa nia ovu, siyo kweli ni kwa nia nzuri sanaaa. Mpotoshaji mmoja aliweka bandiko lake la upotoshaji MODS wakalitoa haraka sana ila mimi nilibahatika kulisoma na hii hapa ndiyo majibu yake.

Ingekuwa dunia hii tunaishi peke yetu sawa tungeweza tukapuuza chanjo kwa vile tunazitilia shaka ingawaje hatukutilia shaka kikombe cha babu au dawa za kujikinga na Corona toka Madagascar, sasa hatuishi peke yetu inatakiwa tuende sambamba na wenzetu vinginevyo watatutenga, sasa tukitengwa tutakuwa wageni wa nani?

Mungu huwa hajibu maombi bali hujibu jitihada za mtu aliyeomba, unafanya jitihada fulani halafu unaomba mungu abariki jitihada hizo ziweze kuleta mafanikio.

Aksanteni sana Mwenyezi Mungu awabariki.
Yaani umekuwa mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja; kwanza, pili haukuwa fair katika bandiko lako.

Mwaka jana ni wazi kuwa tuliishinda Corona kupitia jitihada zetu ambazo hizohizo Mungu alizibariki yaani 'Nyungu'. Wakati huo wengine jitihada zao nilikuwa kujifungia sisi tukagundua mbinu mbadala na usishangae na wewe ilikusaidia.

Tulijifukiza nchi nzima na ukweli tulisalimika. Hii hujaisemea hata kidogo-NONGWA.

NMRI na Hospital ya Taifa Muhimbili wamefanya jitihada nyingi sana za kukabiliana na ugonjwa huu, kwasasa tunayo dawa yetu-HUJASEMA juu ya hili-ROHO MBAYA

WB ndiyo iliitangaza Tanzania kuingia katika Uchumi wa Kati katikati ya janga la Corona inamaana sisi juhudi zetu Mungu alizibariki. Ni juzi tu CAF iliamuru baadhi ya mechi za Club bingwa barani Afrika zifanyikie Tanzania kwasababu kwingine kuna Corona. Hili najua hutaki kusikia-UJINGA

Kwanini unaamini juhudi za chanjo ya kizungu ndo the best? Kwanza mataifa mengi yamezalisha chanjo nyingi...Urus, China,Uingereza,Marekani,Brazil,India n.k twambie tuchukue ipi iliyo bora?

Juzijuzi kuna chanjo fake imekamatwa A. Kusini kutokea China! Je, Rais akitilia shaka machanjo haya atakuwa anakosea?

Uache upumbavu kuanzia leo!
 
tuliishinda
Tanzania ni nchi inayoonekana inataka kuwavurugia Wakubwa mipango yao (biashara)ndiyo maana hao wakubwa wanawatumia baadhi ya watanzania kueneza propaganda zao ili kudhoofisha Ukweli huu. ugonjwa wa corana ni ambao wengi waliougua wamepona inamaanisha Bongo kuna dawa. ndiyo maana wakubwa wanalazisha Tz tupokee chanjo nadhani tkihitaji hata bure tunapewa kikubwa ili waendelee na biashara yao . Tuache kujivuruga dawa bora sio chanjo dawa bora itapatikana Bongo na watu wapo kazini. Huu sio wakati wa kujidharau Mzungu sio Mungu
 
hata kama umechanjwa kupimwa ni lazima unapoingia nchi ngeni ,kwa maana kama Mtanzania unaingia nchini au unarudi nchini kwako huna haja ya kuonyesha kitu zaidi ya kupimwa hapo uwanja wa ndege na kuchukuliwa contact zako ,ila kwa wageni itabidi waonyeshe vipimo vya covidi na kama haitoshi pia hupimwa kwa ile ya kuchokora puwa.
Dunia inakubadilikieni amkeni ,sasa barakowa na miwani ni lazima.Kama bado unatamani kuishi kwingi ili ujionee Tanzania Mpya chini ya Magufuli baada ya miaka kumi wampira wanaita extra time.
 
Yaani umekuwa mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja; kwanza, pili haukuwa fair katika bandiko lako.

Mwaka jana ni wazi kuwa tuliishinda Corona kupitia jitihada zetu ambazo hizohizo Mungu alizibariki yaani 'Nyungu'. Wakati huo wengine jitihada zao nilikuwa kujifungia sisi tukagundua mbinu mbadala na usishangae na wewe ilikusaidia.

Tulijifukiza nchi nzima na ukweli tulisalimika. Hii hujaisemea hata kidogo-NONGWA.

NMRI na Hospital ya Taifa Muhimbili wamefanya jitihada nyingi sana za kukabiliana na ugonjwa huu, kwasasa tunayo dawa yetu-HUJASEMA juu ya hili-ROHO MBAYA

WB ndiyo iliitangaza Tanzania kuingia katika Uchumi wa Kati katikati ya janga la Corona inamaana sisi juhudi zetu Mungu alizibariki. Ni juzi tu CAF iliamuru baadhi ya mechi za Club bingwa barani Afrika zifanyikie Tanzania kwasababu kwingine kuna Corona. Hili najua hutaki kusikia-UJINGA

Kwanini unaamini juhudi za chanjo ya kizungu ndo the best? Kwanza mataifa mengi yamezalisha chanjo nyingi...Urus, China,Uingereza,Marekani,Brazil,India n.k twambie tuchukue ipi iliyo bora?

Juzijuzi kuna chanjo fake imekamatwa A. Kusini kutokea China! Je, Rais akitilia shaka machanjo haya atakuwa anakosea?

Uache upumbavu kuanzia leo!
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli na habari za kuwepo kwake si hadithi za watu tu?
 
Kwanini watu wenye uelewa mdg na wasio na shauku ya kufanya research ndo vimbelembele sana wa kutoa mawazo yao!!!!!!

Kwel majinga yanajiamini siku zote na wenye uelewa hawajimini..
 
Yaani umekuwa mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja; kwanza, pili haukuwa fair katika bandiko lako.

Mwaka jana ni wazi kuwa tuliishinda Corona kupitia jitihada zetu ambazo hizohizo Mungu alizibariki yaani 'Nyungu'. Wakati huo wengine jitihada zao nilikuwa kujifungia sisi tukagundua mbinu mbadala na usishangae na wewe ilikusaidia.

Tulijifukiza nchi nzima na ukweli tulisalimika. Hii hujaisemea hata kidogo-NONGWA.

NMRI na Hospital ya Taifa Muhimbili wamefanya jitihada nyingi sana za kukabiliana na ugonjwa huu, kwasasa tunayo dawa yetu-HUJASEMA juu ya hili-ROHO MBAYA

WB ndiyo iliitangaza Tanzania kuingia katika Uchumi wa Kati katikati ya janga la Corona inamaana sisi juhudi zetu Mungu alizibariki. Ni juzi tu CAF iliamuru baadhi ya mechi za Club bingwa barani Afrika zifanyikie Tanzania kwasababu kwingine kuna Corona. Hili najua hutaki kusikia-UJINGA

Kwanini unaamini juhudi za chanjo ya kizungu ndo the best? Kwanza mataifa mengi yamezalisha chanjo nyingi...Urus, China,Uingereza,Marekani,Brazil,India n.k twambie tuchukue ipi iliyo bora?

Juzijuzi kuna chanjo fake imekamatwa A. Kusini kutokea China! Je, Rais akitilia shaka machanjo haya atakuwa anakosea?

Uache upumbavu kuanzia leo!
Mkuu basi hizo chanjo tuzipinge kisayansi na sio kwa hotuba kama yako hapo juu. Ndani ya sayansi kuna Mungu.
Mungu anajibu maombi na pia hufanya kazi kupitia mkono wa binadamu. Na akifanya anataka utukufu ubaki kwake (Glory to God)
Mungu alitenganisha bahari ili Waisrael wavuke na kuwakimbia Wamisri utumwani. Mungu hakupasua tu bahari bali alimuuliza kwanza Musa , mkononi una nini? Akasema , inua mkono wako upige kwenye maji kwa hiyo fimbo yako. Akafanya hivyo na maji yakaachia njia. Inawezekana wenzetu wanafimbo ya kupasua maji, basi tuwasikilize maana tuliona tumevuka lakini ni dhahiri tuna bahari bado mbele yetu.
 
Wewe una uhakika gani kwamba hawajarengeneza kwa nia ovu? Unaweza kututhibitishia hiyo nia nzuri yao kwa mwandishi? Sasa hivi tunavyoongea hapa Wachina wameanza kuingiza mizuho fake ya chanjo za Corona. Ukweli tujiandae tu kupigwa!!
Kabla hujaanza kulalamika, fuatilia kwanza habari hiyo, kwani ARV'S hakuna fake?lakini kutokana na utaratibu wake wa kuziagiza na kuzitumia , hizo fake kuingia sokoni ni ngumu!!sasa hizo chanjo za Covid19, nchi au mashirika yanaagiza moja kwa moja kwa mtengenezaji hizo fake zitaingiaje kwenye mzunguko kwa sasa?mapungufu kidogo tu, mnayakuza ili ku justify yenu!!!ni chanjo ngapi unazotumia toka kwa hao wenye nia ovu na wewe?hapo mwanao/mke wako kila mala amekuwa anadugwa, mbona humzuii?
 
Naam sasa nchi zimeamuka, nchi mbali mbali duniani zinapeleka oda zao kupata chanjo ya CORONA. teyari jirani zetu Kenya chanjo hiyo imetua nchini mwao kwa GULF air majuzi.

Nchi zingine zimeenda mbali zaidi hazitoruhusu wageni kuingia nchini mwao pasi na kupata chanjo hiyo ya Corona

Pia shirika la afya duniani litatoa vitambulisho kwa wale watakao chanjwa ili wasitiliwe mashaka iwapo wataenda nchi nyingine.

Na vile vile kupata visa kuingia nchi nyingine siyo muda mrefu kuanzia sasa litakuwa ni sharti mhimu bila kuchanja no visa

Chanjo ni nini? Chanjo ni tone kidogo sana ambalo mtu hupewa aidha kwa kulamba au kupigwa sindano kwa madhumuni ya kuamsha uzalishaji wa askari wa kulinda mwili zidi ya ugonjwa huo huo, chanjo huwa ni vimelea vya ugonjwa huo huo unaochanjwa dhidi yake ila vimelea hivyo huwa vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara zaidi tu ya kuamsha uzalishaji wa chembe chembe nwilini ambazo hupigana na vimelea vingine ambavyo vinasababisha ugonjwa husika.

Kwenye clinic za mama na mtoto hutolewa chanjo zinazofanana na Corona yaani chanjo zinazokinga magonjwa yanayosababishwa na virus mfano Surua. Hapa nchini watoto wamekuwa wanachanjwa zidi ya ugonjwa wa surua muda kidogo tangu tupate uhuru hadi sasa chanjo hiyo hutolewa clinic zote za mama na mtoto nchini, kwa hiyo suala hilo la chanjo siyo geni.

Pia kuna chanjo ya kichaa cha mbwa. Kichaa cha mbwa husababishwa na virus, mbwa huuguwa na kuweza kumuambukiza binadamu kwa kumng`ata. Ili binadamu asiuguwe huchanjwa chanjo zidi ya ugonjwa huo. Chanjo hiyo ni virus vya ugonjwa huo huo ambapo huwa vimepunguzwa nguvu kiasi haviwezi kuleta madhara hasi zaidi ya kuhamasisha uzalishashaji wa kinga mwilini endapo virus vingine vya ugonjwa huo vikiingia mwilini, na ikumbukwe kwamba kama mtu akiumwa na mbwa mwenye kichaa asipochanjwa akiuugua kifo huwa ni asilimia mia moja.

Kwa hiyo hata chanjo zidi ya ugonjwa wa Corona ni vimelea hivyo hivyo vya Corona ila vimepunguzwa nguvu sana kiasi haviwezi kuleta madhara ya mtu kuugua Corona bali kuhamasisha mwili kuzalisha chembe chembe nyingiii za kupigana na ugonjwa huo. Kwa hiyo mtu akichanjwa chanjo ya CORONA mwili huwekwa teyari endapo ataambukizwa virus vya Corona virus hivyo hupigwa kipigo kikali na chembe chembe kinga na virus huangamizwa haraka bila hata mhusika kujua kama ameambukizwa.

Nimeandika kwa kirefu kupinga wapotoshaji ambao eti wanadai wazungu wametengeneza chanjo ya Corona kwa nia ovu, siyo kweli ni kwa nia nzuri sanaaa. Mpotoshaji mmoja aliweka bandiko lake la upotoshaji MODS wakalitoa haraka sana ila mimi nilibahatika kulisoma na hii hapa ndiyo majibu yake.

Ingekuwa dunia hii tunaishi peke yetu sawa tungeweza tukapuuza chanjo kwa vile tunazitilia shaka ingawaje hatukutilia shaka kikombe cha babu au dawa za kujikinga na Corona toka Madagascar, sasa hatuishi peke yetu inatakiwa tuende sambamba na wenzetu vinginevyo watatutenga, sasa tukitengwa tutakuwa wageni wa nani?

Mungu huwa hajibu maombi bali hujibu jitihada za mtu aliyeomba, unafanya jitihada fulani halafu unaomba mungu abariki jitihada hizo ziweze kuleta mafanikio.

Aksanteni sana Mwenyezi Mungu awabariki.
Umeelezea chanjo na inatengezwa vipi, lakini jujaeleza kama mwenye chanjo hawezi kuambukizwa na kuambukiza watu wengine. Maana mpaka dakika hii na andika hapa, hakuna kampuni yoyote iliyotengeneza chancho inaweza kuthibitisha kama chanjo inazuwia maabukizi. Chanjo iliyo sokoni inasaidia kupunguza makali na maumivu ya Corona lakini sio kuzuia kuambukiza/kuambukizwa.
 
Kama ataki chanjo ni yeye sio lzm achanjwe wengi tupo tayari.Maana chanjo ni hiari suala la afya ya mtu ni binafsi atakae atachanja asiyetaka sio lazima
 
Back
Top Bottom