kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,677
1. Brazil: "imetesa dunia mara tano".
2. Italia: "imechachafya dunia mara nne"
3. Ujerumani: "imetesa dunia mara nne"
4. Argentina: "imetia kibindoni dunia mara mbili"
5. Uruguay: "imetamba duniani mara mbili"
6. Ufaransa: "imetwaa mara moja"
7. Hispania: "imetingisha dunia mara moja, iliitwanga Uholanzi 1-0,"
8. England: "iliandaa na kuitoboa Ujerumani 4-2, mwaka 1966"
" ikikosekana mojawapo kati ya hizi nchi, hayo mashindano yatakuwa kama bonanza"
2. Italia: "imechachafya dunia mara nne"
3. Ujerumani: "imetesa dunia mara nne"
4. Argentina: "imetia kibindoni dunia mara mbili"
5. Uruguay: "imetamba duniani mara mbili"
6. Ufaransa: "imetwaa mara moja"
7. Hispania: "imetingisha dunia mara moja, iliitwanga Uholanzi 1-0,"
8. England: "iliandaa na kuitoboa Ujerumani 4-2, mwaka 1966"
" ikikosekana mojawapo kati ya hizi nchi, hayo mashindano yatakuwa kama bonanza"