Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Tz ilistahili iwe nafasi ya 5, warembo wetu wako bomba saana,...
 
Naomba huo utafiti ukarudiwe na ikibidi niwepo khaa sio kwa dhihaka hiyo. Yaani umesema wakenya niniiii??? Uuuwiiii sijakubaliana na hilo
 
Siyo kila mwanamke mrembo ni mzuri lakini kila mwanamke mzuri ni mrembo.
 
We una uhakika hiyo siyo yangu???!
 
Apo umenena aseee kula tano
 
Tz haikustahili kuwepo kwenye hiyo orodha, ndiyo maana mm nimeoa katoto toka misri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…