Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Kwa jinsi nikivyifanya fanya starehe ujanani tanzania inaweza kua ya tatu africa,,nmeona,,nmewaona,na ninaendelea kuwaona huko nafas ya tisa wanatuonea tu
 
Kwani kuna kitu gani tunapata au tunafaidika nacho tukiwa kwenye nafasi ya juu? Hebu nisaidieni tafadhali
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.

hakuna madem wabovu kama wa Kenya
 
Wametuonea bhana, hebu huo utafiti urudiwe
Humu jamvini mlidaiwa kuweka kwenye avatar zenu picha za warembo wa mitandaoni, hamwoni kama ninyi ndiyo washiriki wakubwa wa kudharau urembo wenu!

Hakika mkiweka kwenye avatar zenu, kama siyo picha zenu, basi za warembo wa TZ mtakuwa mmeutangaza urembo wenu.
Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
 
Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie

Ndo mnazidi kujiona Madini sasa....!!! Msiwape sifa hawa watu watatupanda vichwa kisa wameambiwa wazuri Africa..!!

Ilikua zamani kwanza sio leo,, Mwanamke wa leo wa KITZ kila kitu fake, from nywele had kucha,,,!!

OOOhw Gooosh..,, PLEASE Move away from the sunlight, I hate the smell of burning plastic...!!!
 
Hao wote unaowataja hamna kitu wametuzidi weusi tu....
Watoto wazuri ni hao wa juu, Ethiopia, Eritrea, Somalia na Rwanda, hao wengine makanyaboya tu wewe eti Nigeria thubutuuuuu View attachment 416997
Nakubaliana nawe mkuu, kenya sitamani hata kwenda kwa ajili ya kupata warembo si bora hata niende uganda nkakutane na wale weusi ka jembe jipya watanipa katerelo niridhike.
 
Hii made in tz
fc58e25983f7aad60f95de8207756603.jpg
 
Back
Top Bottom