Kalimati
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 149
- 46
nilitaka kusema nikaogopa.
take five mkuuu wamesema uongo kabisa
Watanzania tunatumia karolite sana ndio maana. Hatuna rangi ya kuzaliwa kukicha mikorogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilitaka kusema nikaogopa.
take five mkuuu wamesema uongo kabisa
Tafiti iko wrongKama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Weka picha ya tausi hapaNadhani Kenya walimchukua lupita na Tanzania wakamchukua tausi ndio maana wamekuwa juu yetu.
Mm ni black bhana rangi OGWatanzania tunatumia karolite sana ndio maana. Hatuna rangi ya kuzaliwa kukicha mikorogo
Kenya nao wapo????[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Huo ndio ukweli kilakitu bandia.Sasa hivi tunaweka mawowo feki, kope feki, kucha feki, ngozi feki hakuna uhalisia wa urembo wetu. Tujikubali kwanza then tutaonekana warembo. Of course wanaoonekanaga na kuwekwa kwenye rating ni wale wanaojulikana zaidi kama masuper stars lakini wakienda umang'atini watatuweka watanzania namba 2
hujajua badoWanawake wa bongo labda mnaongoza kwa kuchuna ila kwa uzuri Hanna kitu
Haiwezekani,mi nadhani tulipaswa kuwa namba moja....au wewe hujioni kama unapaswa kuwa namba 1?Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Namba1 subutu wanaangalia mambo mengi mfano kimo kirefu na maumbo ya wastani sio chura.Haiwezekani,mi nadhani tulipaswa kuwa namba moja....au wewe hujioni kama unapaswa kuwa namba 1?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mademu wengi bongo wamejichubua hata hiyo namba nane wamependelewa.
Umesahau bar[emoji15] [emoji15]Jamani msipime uzuri kwa kuangalia masupasta, models wa kwe movie. Nenda shuleni, college, sokoni, nyumba za ibada ndio ujue ukweli
Ethiopia, Somalia, Rwanda mmh sikaribiiHaiwezekani,mi nadhani tulipaswa kuwa namba moja....au wewe hujioni kama unapaswa kuwa namba 1?
Mkoani inategemea mkoa wenyewe sasa maana jamaa kanitisha mmmh wengine tuna roho za huruma kumdunda mtu bila sababu utadhani pambano la boxing mmmh napengine kibao kigeuke kama uko mpakani upande wakenya nisije kuwa mhanga wakipigo yaani the Hunter is now the hunted.Mi ni mwanamke wa mkoani
Ha ha haa,hapo wamewapendelea wakenya,wana sura ngumu hao,nilikua kule kisumu na eldoret ni balaa.alafu weusiiiiYani wakenya, eti wakenya wame..... Uongo asee
Itakua wametoa rushwa kuwekwa hapoHa ha haa,hapo wamewapendelea wakenya,wana sura ngumu hao,nilikua kule kisumu na eldoret ni balaa.alafu weusiiii
Ha ha haa,hapo wamewapendelea wakenya,wana sura ngumu hao,nilikua kule kisumu na eldoret ni balaa.alafu weusiiii
ha ha haa!..pole mkuu welcome to Tanzania.Oya mkuu, hizi ranking za kishenzi msituweke tafadhali, labda mambo ya education, development, innovativeness na vitu vingine ambazo zitatutoa kwenye umasikini, hizi zenyu za sijui bongo fleva, sijui nani mrembo na hajapaka mkorogo, sijui shepu, tumewaachia nyie wabongo, that's the best ranking most of y'all lames and fruits jump on, mambo mengine mnakwepa kama mkulu mikutano ya kitaifa.
Alafu pia ingekuwa haki unaweka picha yako, usijumlishe ati wakenya sura ngumu na umejificha kwenye moniker na picha ambayo sio yako, angalau tuonyeshe urembo wako we justly judge you, labda hapa ni story tu unapiga na binafsi una sura kiatu hata wakukumalizia uchu hupati.