NEXTLEVEL
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 857
- 396
Yeah nilikuwa nakuvizia mitaa ya Morocco nione kama kuna siku ntakufananisha duh kumbe nasubiri Meli Ubungo...Mbona umeshangaa ulidhani mi mwanamke wa dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nilikuwa nakuvizia mitaa ya Morocco nione kama kuna siku ntakufananisha duh kumbe nasubiri Meli Ubungo...Mbona umeshangaa ulidhani mi mwanamke wa dar?
Hao wote unaowataja hamna kitu wametuzidi weusi tu....
Watoto wazuri ni hao wa juu, Ethiopia, Eritrea, Somalia na Rwanda, hao wengine makanyaboya tu wewe eti Nigeria thubutuuuuu View attachment 416997
Big noo labda # 8 maana kuipiku Nigeria haiwezkan mis EvelynAaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Binafsi nimepanick [emoji23] utafiti haujatutendea haki.duh! nimecheka sana.
mbona mnapanic hivyo wadada?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Cheeesus!Nafikir wameangalia na akili pia wanawake wa kibongo wengi saa mbovu (sio wote lakini)[emoji1] [emoji1]
Ni PM picha yako nione kama mmeonewa kweliii [emoji3] [emoji3]Binafsi nimepanick [emoji23] utafiti haujatutendea haki.
vimwana wa kibongo katika ubora wenu.Binafsi nimepanick [emoji23] utafiti haujatutendea haki.
Evelyn ni mkurya wa Rorya.... [emoji3]Mbona umeshangaa ulidhani mi mwanamke wa dar?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] co mambo ya kucheka ila ndo ukweli wenyew ..sasa kama hadi hiyo list inawatoa povu c uchizi wenyew ..yan ata hawafikirii africa kuna nchi 54 hapo zimetajwa nchi 10 je nchi kama mozambique,morocco,mali,algeria huko kuna sungura tope na vihande[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wabongo bhana dada zetu mmefanyiwa hisani bado mnamind[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Cheeesus!
Mademu wa kibongo chura wa kubahatisha wengiii wao wako flat... Afu hats kisuraa bado bado... Jamani tuweni wa kweli etivimwana wa kibongo katika ubora wenu.
ila ukitoka nje ya tz kuna angels jaman si mchezo.
Ondoa shaka.Ni PM picha yako nione kama mmeonewa kweliii [emoji3] [emoji3]
Kwa iyo avatar yako I hope utawatoa watanzania kimasomaso...Ondoa shaka.
Aaaaah hatari aisee kwa mwendo huo wacha Kenya na Nigeria wawe juu maana hakosi alama ya kovu, mimi ninahuruma sana sitaweza kumdunda kila siku kuonesha upendo.Evelyn ni mkurya wa Rorya.... [emoji3]