Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Tena wajinga kabisa...Ivory Coast? Kenya? Nigeria??????? labda waseme wazuri kwa kujipodoa...hakuna wanawake fake kama wa hizo nchi tatu..and I have been to all...Aisee Wadada wa Kitanzania ni wazuri...ukitembea tembea ndo utaweza ku-appreciate hilo!

Aliyefanya hii research mwambieni hatutaki ujinga!!!! Kenya? Mzuri kwao ni Vera Sidika ambaye tunajua umbo lake kalipata wapi...sasa huku kwetu wa hivyo wako wengi balaa...natural no make up! aaargh tunaharibiana siku tu na hizi takwimu uchwara.
Ahsante asee, huyu mtafiti aje kanda ya ziwa huku akitoka nadhani tutaingia tatu bora 😀
 
Wabongo mmeumbika ila kwa watoto wa Nigeria weka mbaliii.... Mtawakimbiza Wakenya... Warundiii... Wacongo... Wa Sudan kusini... Waganda... Na wengine wengine... [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hao wote unaowataja hamna kitu wametuzidi weusi tu....
Watoto wazuri ni hao wa juu, Ethiopia, Eritrea, Somalia na Rwanda, hao wengine makanyaboya tu wewe eti Nigeria thubutuuuuu
PhotoGrid_1437919785124.jpg
 
Waethiopia wazuri,
Ila wanaongoza kwa uchafu.

List hiyo hiyo tukiipanga kwa wanawake wanaongoza kwa uchafu, Waethiopia watashika namba moja.

Kibongobongo tuna mademu wazuri kushinda wakenya na wanaigeria.
 
Back
Top Bottom