Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Sorry Tanzania haipo na isiwepo ikiwa Uganda ambayo ndio ina warembo waliobinuka haimo
 
Huenda waliselekt mikoa ya wanawake walio na sura kama za kiume, mimi nachojua kwa utafiti wangu tanzania ni ya tatu,...
 
Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie


Tena wajinga kabisa...Ivory Coast? Kenya? Nigeria??????? labda waseme wazuri kwa kujipodoa...hakuna wanawake fake kama wa hizo nchi tatu..and I have been to all...Aisee Wadada wa Kitanzania ni wazuri...ukitembea tembea ndo utaweza ku-appreciate hilo!

Aliyefanya hii research mwambieni hatutaki ujinga!!!! Kenya? Mzuri kwao ni Vera Sidika ambaye tunajua umbo lake kalipata wapi...sasa huku kwetu wa hivyo wako wengi balaa...natural no make up! aaargh tunaharibiana siku tu na hizi takwimu uchwara.
 
Tena wajinga kabisa...Ivory Coast? Kenya? Nigeria??????? labda waseme wazuri kwa kujipodoa...hakuna wanawake fake kama wa hizo nchi tatu..and I have been to all...Aisee Wadada wa Kitanzania ni wazuri...ukitembea tembea ndo utaweza ku-appreciate hilo!

Aliyefanya hii research mwambieni hatutaki ujinga!!!! Kenya? Mzuri kwao ni Vera Sidika ambaye tunajua umbo lake kalipata wapi...sasa huku kwetu wa hivyo wako wengi balaa...natural no make up! aaargh tunaharibiana siku tu na hizi takwimu uchwara.
Tanzania ni ya tano watoe afrika ya kusini
 
Back
Top Bottom