Nchi masikini: Kiongozi anapanda ndege Dar Es-Salaam, shangingi linakuja Dodoma kumpokea. Trump na Elon Musk, futeni misaada kwa nchi za Afrika

Nchi masikini: Kiongozi anapanda ndege Dar Es-Salaam, shangingi linakuja Dodoma kumpokea. Trump na Elon Musk, futeni misaada kwa nchi za Afrika

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Sisemi mengi maana tumeshsema sana na kwa miaka mingi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wengi ni wabinafsi, wabadhirifu, hawana uzalendo na hawajali shida za wananchi wao, bali wanafikiria zaidi matumbo yao na familia zao kwa kujilimbikizia mali kanakwamba wataishi milele huku wananchi wakiteseka.

Mfano, kiongozi anaondoka Dodoma halafu shangingi linachoma mafuta kuja kumpokea Dodoma wakati kina mama wanakufa wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora huku watoto wao wengine wakisoma kwenye vibanda vya nyasi ambavyo watawala wanaviita shule huku watoto wa viongozi wakisoma Ulaya na kwenye mashule ya gharama humu nchini.

Trump na Elon Musk, nyie ni watu sahihi Mungu katupatia kama zawadi muwanyooshe hawa viongozu wabinafsi wa kiafrika na ninawashauri mfute kaisa hi misaada ambayo sio tu inatumika vibaya, bali inatulemaza na kutufanya tuendelee kuwa ombaomba huku tukiuza rasilimali zetu kupitia mikaba ya kipuuzi kabisa maarufu kama mikataba ya "kimangumangungu".

Kama haitoshi, tunasikia wanataka kuongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi(makasiriko matupu wanatuletea).

Nchi za ulaya tunaomba muige huu mfano wa Trump na Musk kwani ni hatua iliyochelewa sana.

Pengine, waafrika tikianza kufa kwa magonjwa na kuishi maisha magumu kwa kukosa huduma za msingi, tutaungana kuwakataa hawa wakoloni weusi.
 
Sisemi mengi maana tumeshsema sana na kwa miaka mingi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wengi ni wabinafsi, wabadhirifu, hawana uzalendo na hawajali shida za wananchi wao, bali wanafikiria zaidi matumbo yao na familia zao kwa kujilimbikizia mali kanakwamba wataishi milele huku wananchi wakiteseka.

Mfano, kiongozi anaondoka Dodoma halafu shangingi linachoma mafuta kuja kumpokea Dodoma wakati kina mama wanakufa wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora huku watoto wao wengine wakisoma kwenye vibanda vya nyasi ambavyo watawala wanaviita shule huku watoto wa viongozi wakisoma Ulaya na kwenye mashule ya gharama humu nchini.

Trump na Elon Musk, nyie ni watu sahihi Mungu katupatia kama zawadi muwanyooshe hawa viongozu wabinafsi wa kiafrika na ninawashauri mfute kaisa hi misaada ambayo sio tu inatumika vibaya, bali inatulemaza na kutufanya tuendelee kuwa ombaomba huku tukiuza rasilimali zetu kupitia mikaba ya kipuuzi kabisa maarufu kama mikataba ya "kimangumangungu".

Kama haitoshi, tunasikia wanataka kuongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi(makasiriko matupu wanatuletea).

Nchi za ulaya tunaomba muige huu mfano wa Trump na Musk kwani ni hatua iliyochelewa sana.

Pengine, waafrika tikianza kufa kwa magonjwa na kuishi maisha magumu kwa kukosa huduma za msingi, tutaungana kuwakataa hawa wakoloni weusi.
Na wa europe nao wafute misaada kabisa. Unaweza kukuta hizi hela za misaada zinatumika kulipa hata wanaoteka na kupoteza watu
 
Usichojua misaada ikikatwa huyo maskini anakuwa maskini triple... Tajiri atayumba tu kidogo halafu atasoma mazingira atarudi kivingine, ila maskini hatakuwa na ujanja ukibahatikana sana ni kifo tu
 
Usichojua misaada ikikatwa huyo maskini anakuwa maskini triple... Tajiri atayumba tu kidogo halafu atasoma mazingira atarudi kivingine, ila maskini hatakuwa na ujanja ukibahatikana sana ni kifo tu

..huyo unayemuita masikini triple ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua kuwashughulikia mafisadi, kuliko masikini wa sasa wanaorushiwa makombo.
 
Sisemi mengi maana tumeshsema sana na kwa miaka mingi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wengi ni wabinafsi, wabadhirifu, hawana uzalendo na hawajali shida za wananchi wao, bali wanafikiria zaidi matumbo yao na familia zao kwa kujilimbikizia mali kanakwamba wataishi milele huku wananchi wakiteseka.

Mfano, kiongozi anaondoka Dodoma halafu shangingi linachoma mafuta kuja kumpokea Dodoma wakati kina mama wanakufa wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora huku watoto wao wengine wakisoma kwenye vibanda vya nyasi ambavyo watawala wanaviita shule huku watoto wa viongozi wakisoma Ulaya na kwenye mashule ya gharama humu nchini.

Trump na Elon Musk, nyie ni watu sahihi Mungu katupatia kama zawadi muwanyooshe hawa viongozu wabinafsi wa kiafrika na ninawashauri mfute kaisa hi misaada ambayo sio tu inatumika vibaya, bali inatulemaza na kutufanya tuendelee kuwa ombaomba huku tukiuza rasilimali zetu kupitia mikaba ya kipuuzi kabisa maarufu kama mikataba ya "kimangumangungu".

Kama haitoshi, tunasikia wanataka kuongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi(makasiriko matupu wanatuletea).

Nchi za ulaya tunaomba muige huu mfano wa Trump na Musk kwani ni hatua iliyochelewa sana.

Pengine, waafrika tikianza kufa kwa magonjwa na kuishi maisha magumu kwa kukosa huduma za msingi, tutaungana kuwakataa hawa wakoloni weusi.
Who cares?
 
Sisemi mengi maana tumeshsema sana na kwa miaka mingi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wengi ni wabinafsi, wabadhirifu, hawana uzalendo na hawajali shida za wananchi wao, bali wanafikiria zaidi matumbo yao na familia zao kwa kujilimbikizia mali kanakwamba wataishi milele huku wananchi wakiteseka.

Mfano, kiongozi anaondoka Dodoma halafu shangingi linachoma mafuta kuja kumpokea Dodoma wakati kina mama wanakufa wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora huku watoto wao wengine wakisoma kwenye vibanda vya nyasi ambavyo watawala wanaviita shule huku watoto wa viongozi wakisoma Ulaya na kwenye mashule ya gharama humu nchini.

Trump na Elon Musk, nyie ni watu sahihi Mungu katupatia kama zawadi muwanyooshe hawa viongozu wabinafsi wa kiafrika na ninawashauri mfute kaisa hi misaada ambayo sio tu inatumika vibaya, bali inatulemaza na kutufanya tuendelee kuwa ombaomba huku tukiuza rasilimali zetu kupitia mikaba ya kipuuzi kabisa maarufu kama mikataba ya "kimangumangungu".

Kama haitoshi, tunasikia wanataka kuongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi(makasiriko matupu wanatuletea).

Nchi za ulaya tunaomba muige huu mfano wa Trump na Musk kwani ni hatua iliyochelewa sana.

Pengine, waafrika tikianza kufa kwa magonjwa na kuishi maisha magumu kwa kukosa huduma za msingi, tutaungana kuwakataa hawa wakoloni weusi.
Hehehehe......Hela ipo Mzee
 
the elephant in the room ni dini, tatizo lipo hapo, wanapenda umwinyi na usultani ndiyo maana anasa imetamalaki huku watu wengi wakitaabika, fikiria tu mamilioni kunua “goli ” ingelisha yatima au walemavu wangapi? hivyo tunakwama na kurudishwa nyuma na dini ya umwinyi na usultani na liko wazi kila watawalapo …
 
Usichojua misaada ikikatwa huyo maskini anakuwa maskini triple... Tajiri atayumba tu kidogo halafu atasoma mazingira atarudi kivingine, ila maskini hatakuwa na ujanja ukibahatikana sana ni kifo tu
Hapo ndipo watakaosalia akili zitawakaa sawa. Macho na masikio yao yatafanya kazi. Na kuweza kutambua chanzo cha umasikini wao nakuchukua hatua. Bila maumivu hakuna mabadiliko.
 
Back
Top Bottom