Nchi maskini na kulialia

Nchi maskini na kulialia

Kanyawela

Senior Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
183
Reaction score
203
Sasa hivi nchi nyingi maskini hasa za kiafrika ziko katika kulia na kulalamikia hatua ya Marekani kuondoa ruzuku na misaada mbalimbali inayogharamiwa na tax payers wa Marekani.
Ninajiuliza hivi kwa nini tunakaa kulialia badala ya kutafuta njia ya kuweza kujiendesha na kujisaidia bila kutegemea misaada na ruzuku toka kwao?

Kwangu mimi naona sasa ni wakati muafaka kuliko wakati wowote kuweka nidhamu ya usimamizi wa rasrimali zetu na kuachana na kasumba ya kwamba hatuwezi bila wao.
 
Wanalia fedha za kulipana posho na kuiba zimekatwa na Marekani, wajinga hawa wajifunze kubana matumizi na kutumia rasilimali zilizopo
 
Ikiwapendeza wazungu warudi tu kwenye makoloni yao🤗🤗🤗KIROHO SAFI TU HAKUNA NAMNA.

Yamkini hali ya maisha itaimarika,dhiki itageuka faraja.Mkoloni huyu mweusi walimwacha anaroho mbaya bora mkoloni mweupe.

WAO MABEBERU HUKO WALIPO,EBU WATUONEE HURUMA WARUDI KABISA KUTUCHAPA MIJELEDI.HUWENDA THIS TIME MWAFRICA ATATIA AKILI.

WAAFRICA HAWAJIELEWI,WAZUNGU WAJE TENA WASAIDIE KUTAWALA HUWENDA BADO MUAFRIKA HAKUWA TAYARI KWA HAYA MAJUKUMU MAKUBWA.

📌AFRICANS WERE NOT MODELED TO RULE BUT BE RULED,IT IS TO MY UNDERSTANDING THAT THE FUTURE AND SURVIVAL OF THIS POOR CREATURES IS IN THE HANDS OF THE WHITE PEOPLE.
 
Back
Top Bottom