Nchi mpya zinazotarajiwa Afrika


Vipi, mkuu. Hoja yako ni ipi hasa?

Vipi gesi ingesafirishwa mpaka Marekani kwa meli na sio mpaka Mwanza kwa bomba? Yaani nyie mnatakaje zaidi ili iwanufaishe?

Labda ukifafanua wengi tutaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…