chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Leo bbc imetoa ripoti huko nchini wingereza kukamata mtu ambaye alikuwa mwizi wa umeme kwa ajili ya kuvuna bitcoin.
Bitcoin inakadiliwa kuwa inatumia vifaa vya graphic card kubwa ambazo zinafanya utendaji mkubwa wenye nguvu kubwa ya umeme ikiwa na GPU kubwa.
Kuna nchi zina lalamika kuwa zinamaliza nguvu ya umeme na wizi wa umeme kuongezeka
Chanzo BBC
www.bbc.com/news/uk-england-birmingham-57280115.amp
Bitcoin inakadiliwa kuwa inatumia vifaa vya graphic card kubwa ambazo zinafanya utendaji mkubwa wenye nguvu kubwa ya umeme ikiwa na GPU kubwa.
Kuna nchi zina lalamika kuwa zinamaliza nguvu ya umeme na wizi wa umeme kuongezeka
Chanzo BBC
www.bbc.com/news/uk-england-birmingham-57280115.amp