B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 31, 2022 #1 Matatizo duniani hutokea. Ni wajibu wa Serikali kuwahami watu wake kwenye nyakati za shida: Kama si hivi serikali itakuwa na umuhimu gani? Wenzetu kama sisi hawa hapa: Kwetu pamoja dhahabu yetu kuendelea kupanda bei: Mafuta kupanda bei vilio, kwanini si vicheko Dhahabu ikipanda? Mama Tozo anakwama wapi? Mama Tozo hata anasikiliza maoni ya watu wake?
Matatizo duniani hutokea. Ni wajibu wa Serikali kuwahami watu wake kwenye nyakati za shida: Kama si hivi serikali itakuwa na umuhimu gani? Wenzetu kama sisi hawa hapa: Kwetu pamoja dhahabu yetu kuendelea kupanda bei: Mafuta kupanda bei vilio, kwanini si vicheko Dhahabu ikipanda? Mama Tozo anakwama wapi? Mama Tozo hata anasikiliza maoni ya watu wake?
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 14,834 Reaction score 32,522 Mar 31, 2022 #2 CCM hii hii?? hilo jambo ni gumu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Mar 31, 2022 #3 Watawala wengi Africa wamelaaniwa kabisa
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Mar 31, 2022 #4 Lavit said: CCM hii hii?? hilo jambo ni gumu Click to expand... Halipo kabisa na hata siyo gumu
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Mar 31, 2022 #5 Kwani nyie Chadema mna mpango gani?
N nazidaka JF-Expert Member Joined Mar 14, 2014 Posts 483 Reaction score 543 Mar 31, 2022 #6 johnthebaptist said: Kwani nyie Chadema mna mpango gani? Click to expand... Watasema .... KATIBA MPYA ...!
johnthebaptist said: Kwani nyie Chadema mna mpango gani? Click to expand... Watasema .... KATIBA MPYA ...!
Tajiri Kichwa JF-Expert Member Joined Apr 2, 2017 Posts 9,021 Reaction score 22,016 Mar 31, 2022 #7 Ccm hawako na mlengo wa maendeleo ni kulipana mishahara na kupeana dili nono
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 31, 2022 Thread starter #8 Bejamini Netanyahu said: Watawala wengi Africa wamelaaniwa kabisa Click to expand... Aina hizi zimelaaniwa na kwetu zipo:
Bejamini Netanyahu said: Watawala wengi Africa wamelaaniwa kabisa Click to expand... Aina hizi zimelaaniwa na kwetu zipo:
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 31, 2022 Thread starter #9 nazidaka said: Watasema .... KATIBA MPYA ...! Click to expand... Hiyo ni katika sehemu ya kusikiliza maoni ya watu. Kwanini pia kwa mustakabala huu katiba mpya isiwe kuwa ni sehemu ya ufumbuzi:
nazidaka said: Watasema .... KATIBA MPYA ...! Click to expand... Hiyo ni katika sehemu ya kusikiliza maoni ya watu. Kwanini pia kwa mustakabala huu katiba mpya isiwe kuwa ni sehemu ya ufumbuzi:
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 Mar 31, 2022 #10 Tatizo sisi Tanzania tunaongozwa na vibaka.Imagine hawa ndiyo wataalam tunaotegemea watuvushe🐒🐒🐒 Your browser is not able to display this video. Your browser is not able to display this video.
Tatizo sisi Tanzania tunaongozwa na vibaka.Imagine hawa ndiyo wataalam tunaotegemea watuvushe🐒🐒🐒 Your browser is not able to display this video. Your browser is not able to display this video.
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 31, 2022 Thread starter #11 johnthebaptist said: Kwani nyie Chadema mna mpango gani? Click to expand... Haki, usawa na siasa za kistaarabu ndiyo pa kuanzia. Ndipo tuliyokubaliana. Tunashindwa hadi na kina Kagame huku dhahabu yetu ikipanda bei kila leo?
johnthebaptist said: Kwani nyie Chadema mna mpango gani? Click to expand... Haki, usawa na siasa za kistaarabu ndiyo pa kuanzia. Ndipo tuliyokubaliana. Tunashindwa hadi na kina Kagame huku dhahabu yetu ikipanda bei kila leo?
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 31, 2022 Thread starter #12 Lavit said: CCM hii hii?? hilo jambo ni gumu Click to expand...