Nchi nyingine zinapowahami watu wao, sisi tunakwama wapi?

Watasema .... KATIBA MPYA ...!

Hiyo ni katika sehemu ya kusikiliza maoni ya watu. Kwanini pia kwa mustakabala huu katiba mpya isiwe kuwa ni sehemu ya ufumbuzi:

 
Tatizo sisi Tanzania tunaongozwa na vibaka.Imagine hawa ndiyo wataalam tunaotegemea watuvushe🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwani nyie Chadema mna mpango gani?

Haki, usawa na siasa za kistaarabu ndiyo pa kuanzia. Ndipo tuliyokubaliana.

Tunashindwa hadi na kina Kagame huku dhahabu yetu ikipanda bei kila leo?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…