Nchi tano za Africa zilizotembelewa zaidi na watalii 2020-2021

Nchi tano za Africa zilizotembelewa zaidi na watalii 2020-2021

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Kama tunavyojua utaliii ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato kwa nchi nyingi dunia. Hii ni orodha ya nchi za Africa zilizotembelewa zaidi na watalii kwa kipindi cha mwaka 2020-2021 ambapo kuliku na changamoto ya ugongwa wa Covid-19. SOUTH AFRICA-ilitembelewa na wataliii 2.3 milioni. TANZANIA- ilitembelewa na watalii 900,000. ETHIOPIA- ilitembelewa na watalii 500,000. REUNION(visiwa vya Mauritania na Madagascar)-vilitembelewa na watalii 300,000. ESWATINI-ilitembelewa na watalii 200,000. Chanzo. Shirika la utalii duniani (UNWTO)
 
Back
Top Bottom