Nchi ya ajabu sana hii

Nchi ya ajabu sana hii

Tz boy 4tino

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
1,598
Reaction score
1,822
Mgonjwa aliyepigwa risasi apata kifungo hospitalini baada ya kushindwa kulipa Bill..

Kutoka middle economy. FB_IMG_1509707458003.jpg FB_IMG_1509707440922.jpg FB_IMG_1509707434711.jpg
 
Si hata marekani trump ametoa medical coverage for the poor na watu wameanza kunyimwa matibabu smh!!....Tanzania mna shida .....Matibabu kesha pewa kulipa tu ndio hajalipa ....chakula anapewa na kitanda cha kulala shida ni hawezi toka mpaka alipe deni na kila siku deni lake lina panda....
 
Aendelee kulala tu no way kama chakula wanampa,chumba wanasafisha,kitanda,mashuka fresh! Anawahi wp
 
Back
Top Bottom