Nchi ya asali na maziwa

komora096

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
20,548
Reaction score
5,647
Watu wameskia mkopo wamefurika kuelkea uwanja wa taifa dar..halafu huku tunaaminishiwa tanzania watu wanayamudu maisha yao ya kila siku...

Always in denial..mkiambiwa nynyi ni maskini mnakataa...haya angalie raia wenu walivyokusanyika kisa wamesikia ni mkopo...km ingelikuwa ration..si wangelitoka watu mpka mikoani....
https://www.facebook.com/
 
Alafu tukiwaambia wakenya wanateseka na njaa mnasema tunawakashifu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umejionea mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mikopo tu jamaa wamefurika hvo....duh!!noma
Ndio hiyo LDC ikionyesha true colours.
 
Ndio madhara ya kutokuwa na sera za kueleweka kwenye kila sekta sanasana kwenye sekta kama 'finance'. Wenzao Kenya wanalazimishwa wachukue mikopo ya kibiashara ya hela nyingi, mikopo yenye intrest ya chini kabisa. Tena kwa simu zao kupitia Mobile Banking wakiwa wameketi kitako manyumbani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii thread imekuumiza...mikopo tu jamaa wamefurika hvo...je ration...si ni balaa...


Eti tanzania watu maisha wanayamudu...kumbe hali taabani

Halafu ujue hmna ukame[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Umesikia watanzania wanateseka na njaa,
Endelea kubishana na nchi yenye chakula cha kutosha.
 
Chakula cha kutosha mngekula mavi...duh!!!

Mkopo tu aisee...mmerundikana hvo...kweli hampendi ukwel
Umesikia watanzania wanateseka na njaa,
Endelea kubishana na nchi yenye chakula cha kutosha.
 
Kumbuka uchaguzi unaanza
 
Umeumia sio...vyuma vimekaza kijana...ccm wacha iendelee kuwalisha matango pori
Tukisema uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo, huwa mnakasirika. Hivi kweli kuna kitu cha kujadili hapa?,
cc. Tony254
Mkikuyu- Akilitimamu.
 
Tanzania is one of unequal societies in the world only behind india
 
Mikopo iko hadi America...what a useless thread!!..mods where are you...??
 
Ugawaji mikopo kwa familia masikini... hatari sana...

Kwa muujibu wa awamu hii, hao wote waliyojongea uwanja wa taifa ni wapiga dili...



Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…