Nchi ya asali na maziwa

Nchi ya asali na maziwa

Cc: ummayed
Kwn hukwenda na wewe ukapewe mkopo
 
Duuuh.....Midanganyika. Hakuna Mikopo kwenye Benki ama imekuaje tena???
 
Mamayooo!! Jameni hadi huruma, huu sio utani tena, wenzetu wanateseka sana kwa kweli....
 
Duuuh.....Midanganyika. Hakuna Mikopo kwenye Benki ama imekuaje tena???

Inatia huruma sana, vyuma vimekaza nchi yote full kilio, halafu uongeze ndege zinakamatwa kisa wameshindwa kulipa mikopo ya watu.
 
Wacha kuumia kijana...
Tatizo sio mikopo....vyuma ndio vimekaza aisee
Even the super billionaire in East Africa Mr. Mo dewji anachukua mkopo..who are they???.

Which school you attended??..it seems your teacher worked for nothing..
 
Umesoma kweli hyo habari ukaielewa..kemu wacha nikuletee tena...jamaa maisha yamewashinda hadi wameamua wakachukue hyo mikopo..we unaleta ujinga hapa
Even the super billionaire in East Africa Mr. Mo dewji anachukua mkopo..who are they???.

Which school you attended??..it seems your teacher worked for nothing..
Screenshot_20190831-173702_Lite.jpeg
 
Umesoma kweli hyo habari ukaielewa..kemu wacha nikuletee tena...jamaa maisha yamewashinda hadi wameamua wakachukue hyo mikopo..we unaleta ujinga hapaView attachment 1195146

Ndo nakwambia even america na duniani kote kuna kundi flani la watu husaidiwa kama vile wajane,wazee,masikini(vilema)..kuhusumkopo hata matajiri hukopa,au hujawahi kuona?
 
Ooooo!!sasa mbna huaga mnakataa nynyi km tanzabia kuna maskini hohehahe
Ndo nakwambia even america na duniani kote kuna kundi flani la watu husaidiwa kama vile wajane,wazee,masikini(vilema)..kuhusumkopo hata matajiri hukopa,au hujawahi kuona?
 
Back
Top Bottom