Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha, maneno weka ukweliNaomba upate darasa kwamba mzungu aliwacha Tanzania na Kenya zikiwa level moja kiuchumi, leo hii tumewaacha nyie hii ni baada ya sisi kupiga chini chama tawala kilichokua kinatuangusha.
Mambo yote? n mambo gani hayoMzee wa nongwa vipi, leo naona umejitutumua sijui umekunywa nini. Nakubaliana na hilo la viongozi kupenda kutufyonza, na hii ni kawaida kwa viongozi wa nchi nyingi. Ni kwamba hao wa Tanzania hawajapata fursa lakini kila wakipata nafasi huwa naona wanavyo wanyonya, Ni kama juzi tu wale wa CCM waligawana mamilioni hela za walipa kodi.
Lakini nakukatalia kwenye suala la kusema hatuwezi kuendelea, Kenya inaendelea maana ni nchi ya wachapa kazi na ndio maana unaona bila raslimali, na pia ardhi ndogo ambayo nusu yake kame tunaizidi Tanzania yenye kila kitu. Tunawazidi kiuchumi, kielimu na mambo yote kwa sababu tunajituma balaa. Wabunge na viongozi wengi wanatufyonza lakini bado tunatawala na kuendelea maana hatukati tamaa.
Na ufisadi wamuacjie nani wakenya no mwezi kwa Mali za umma kwaoSasa, kwa nchi kama Kenya, iliyo kuwa na uchumi huria tokea 1960's, hamkutakiwa kuwa level za Korea ya kusini, Singapore, Malaysia, Brazil, South Africa na nyingine nyingi? Huku nchi hizi nyingine zinepitia kwenye vita, njaa, ubaguzi wa rangi, mapinduzi ya kijeshi nk. Mbona mnafukuzana na Tanzania nchi iliyo ingia kwenye mfumo biashara hurui miaka 20 tuu iliyo pita. Na hii ni ugatuzi pia au? [emoji23]
Hii nchi iitwayo Kenya haiwezi kuja kuendelea hata siku moja, itabakia kuzunguka hapo hapo ilipo tu na hakuna kwenda mbele, na hii ni kwa sababu ya mazingira ya nchi hiyo na watu wake hayaruhusu nchi hiyo kuendelea!
Nimesikia Kenya ina Wabunge zaidi ya 400, Maseneta wa idadi hiyo hiyo, halafu kuna Magavana na Madiwani pia na wote hawa wanataka kutajirikia Serikalini, wanataka Mishahara minono, Gari, Pension, Mtibabu n.k. WTF?
MPs reject Sh11 million gratuity, team formed to negotiate more cash
Kwa sababu Mzungu aliacha hivyo, lkn siyo Wakenya wenyewe, isitoshe pengo linazidi kupungua kila siku kati ya Kenya na nchi jirani, lkn ni nje ya Mada hata hivyo!!
Siyo kweli, Mzungu aliacha Kenya semi-industrialised middle income country ila Wakenya ndiyo wamebomoa, Viwanda vyote chini ya mwamvuli wa Unilever industries viliwekwa Kenya na Mzungu, na ndiyo moja kati ya sababu ya EAC kuvunjika kwani kila kitu kilikuwa Kenya, hata Kenya Airways ni mzao wa Ndege zilizokuwa mali ya EAC, Tanzania hatukuwa na chochote, Viwanda voyote Muingereza alijenga Kenya na kutokea Nairobi ndiyo alikuwa anasambaza nchi nyingine kama TZ, Uganda na kwingineko, kwa kifupi Nairobi ndiyo ilikuwa center ya EAC chini ya Mzungu!
Tanzania Mzungu hakujenga Kiwanda hata kimoja!
Na ndio maana mpka leo hii vitu vingi Kenya bado vinabeba jina la East Africa, tanzani hakuna kitu kama hicho!
Mzungu aliacha uchumi wa Tz na Kenya ukiwa kitu kimoja. Hivi huelewi historia yako?
East African Airways was divided based on contribution. Tanzania got what they had contributed
Unajua East Afrian Airways ilianzishwa lini na nani aliianzisha? Ilianzishwa mwaka 1943 na ilianzishwa na Mzungu siyo Mkenya mweusi!
Sasa Kenya alicontribute nini mpaka useme ilistahili kupata share kubwa? Wote Waafrika hatukuchangia chochote kwenye kuanzishwa kwa East african Airways ilikuwa ni project ya Mzungu, sasa kwanini Mali zote Kenya wachukuwe?
hata kama alianzisha mzungu na sio mkenya mweusi kama unavyosema, ila raslimali alizotumia huyo mzungu ni za Kenya na kwaiyo ilikua ni Mali ya wakenya. Nikupe mfano mdogo tu, CEO/meneja/accountant au mfanyakazi yeyote akianzisha bidhaa flani kwenye kampuni iliomuajiri na ikafanya vizuri, siku akiacha kazi kwenye kampuni husika anaondoka na bidhaa au inabaki ni mali ya kampuni?Unajua East Afrian Airways ilianzishwa lini na nani aliianzisha? Ilianzishwa mwaka 1943 na ilianzishwa na Mzungu siyo Mkenya mweusi!
Sasa Kenya alicontribute nini mpaka useme ilistahili kupata share kubwa? Wote Waafrika hatukuchangia chochote kwenye kuanzishwa kwa East african Airways ilikuwa ni project ya Mzungu, sasa kwanini Mali zote Kenya wachukuwe?
Tutolee huu upumbavu wako huku kazi kujaza kinyesi kichwan wew kenya yetu inakuhusu nin.mmeshindwa kujua watanzania wanataka nin mnakimbizan na opposition tu...mandaz nyieHii nchi iitwayo Kenya haiwezi kuja kuendelea hata siku moja, itabakia kuzunguka hapo hapo ilipo tu na hakuna kwenda mbele, na hii ni kwa sababu ya mazingira ya nchi hiyo na watu wake hayaruhusu nchi hiyo kuendelea!
Nimesikia Kenya ina Wabunge zaidi ya 400, Maseneta wa idadi hiyo hiyo, halafu kuna Magavana na Madiwani pia na wote hawa wanataka kutajirikia Serikalini, wanataka Mishahara minono, Gari, Pension, Mtibabu n.k. WTF?
MPs reject Sh11 million gratuity, team formed to negotiate more cash
Mkuu, futa povu mdomoni, huu mchezo hauhitaji hasira [emoji12]Tutolee huu upumbavu wako huku kazi kujaza kinyesi kichwan wew kenya yetu inakuhusu nin.mmeshindwa kujua watanzania wanataka nin mnakimbizan na opposition tu...mandaz nyie