TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Ndio kwani Tatzo liko wapi! Si kama Kenya tu anavyoshobokea Marekani!?Halafu hakuna taifa linashobokea Urusi kama Tanzania hapa Afrika, Urusi wametuma mjumbe wao Afrika ila akakwepa Tanzania kama ishara za kuonyesha hamuna ushawishi wowote popote....