Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Anaita wenzie mapopoma achana nae.Rwanda ina watu kama wa ubungo pekee ndio unalinganisha na watu mil 63
Tumia akili kufikiri
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ubungo ina watu mil 12,nilikua sijui aisee.Rwanda ina watu kama wa ubungo pekee ndio unalinganisha na watu mil 63
Tumia akili kufikiri
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu hili suala mbona sijaona hata wananchi wakilishobokea au na wao wanajua haliwezekani/wakishajua ahadi za gavana hua hazitekekezeki?Kuna nchi magavana uchwara wanakusanya watu na kuanza kuhubiri "upumbavu"...Eti wenye nyumba washushe kodi kwa 50%,Kwani kuna lockdown?..Mishe si zinaendelea?
Rwanda kanchi kadogo kama piriton hata mimi nina uwezo wa kuwapa chakula wote mpaka rais wao.
Hiyo ni kweli nimeiona hata jana pale Washington D.C. ndugu yangu!Serikali ya Rwanda kupitia Rais wake imefanya yafuatayo..
1. Inawajali Wananchi wake mara kwa mara juu ya Ugonjwa
2. Inatoa Msaada wa Vyakula bure kabisa kwa Wananchi wake
3. Inatoa bure kabisa Vifaa vya Kujiinga na Ugonjwa kwa Wananchi wake
4. Waziri wake wa Afya hana Unafiki katika Kutoa Taarifa sahihi kwa Wananchi
5. Kwa Rwanda huu Ugonjwa siyo wa Aibu au wa Kuficha kwa Jumuiya ya Kimataifa
6. Viwanja vya Ndege na Mipaka yote Umakini umeongezeka na Kudhibitiwa
7. Imeunganisha nguvu na Jumuiya ya Kimataifa katika Kutafuta Suluhu ya Ugonjwa duniani
Serikali zingine duniani na Marais wao wamefanya yafuatayo
1. Wanaficha Taarifa za Wagonjwa kwa Wananchi wao
2. Marais wao wanajificha Kuuongelea wakidhani ni Ugonjwa la laana
3. Mawaziri wao wa Afya wakizungumza ni Kuchekacheka tu kama Ngiri na Mizaha mingi
4. Wananchi wao wanajazana hovyo hadi Kujambiana sana katika DalaDala
5. Wanajali sana Mapato ya Kodi kuliko kujua idadi ya Wagonjwa wanaoongezeka
6. Wanaficha Taarifa za Ugonjwa ila chini chini wanaomba Misaada ya Pesa WB
7. Viongozi wao wanakataza Mikusanyiko ila wao wakiongea wanakusanya Watu wengi
Nchi zingine za Afrika bado hajizachelewa Kuiiga Rwanda na hasa Kumuiga Rais wake Mahiri na bora kabisa Paul Kagame.
Acha ujuaji ww mtoa mada.
Unasema Rwanda mfano wa kuigwa mbona licha yalockdown yao Bado maambukizi yanazidi kuongezeka kuliko nchi zote za EA, mpaka kagame ameamua kuongeza mda wa lockdown mpaka 19 April?
Unasema nchi zinaficha data sahihi, twambie wewe unayejua zilizokamili.
Tatzo upinzani wako umekuharibu akili.
Nyie ndo mnapenda kila siku kusikia idadi ya wagonjwa wameongezeka TanzaniA.
Kwa taarifa yako hakuna lockdown Tanzania na Mungu mkuu yupo juu ya ardhi hii sasa.
Mnatumwa na mabeberu
Sawa, mbona kesi zinaongezeka? Mfano bora ni upi ? Kuweka watu ndani tu au kucontain the disease?
Bila dawa au chanjo kuvumbuliwa, nchi zote duniani zitafeli kumaliza hili tatizo.
Serikali ya Rwanda kupitia Rais wake imefanya yafuatayo..
1. Inawajali Wananchi wake mara kwa mara juu ya Ugonjwa
2. Inatoa Msaada wa Vyakula bure kabisa kwa Wananchi wake
3. Inatoa bure kabisa Vifaa vya Kujiinga na Ugonjwa kwa Wananchi wake
4. Waziri wake wa Afya hana Unafiki katika Kutoa Taarifa sahihi kwa Wananchi
5. Kwa Rwanda huu Ugonjwa siyo wa Aibu au wa Kuficha kwa Jumuiya ya Kimataifa
6. Viwanja vya Ndege na Mipaka yote Umakini umeongezeka na Kudhibitiwa
7. Imeunganisha nguvu na Jumuiya ya Kimataifa katika Kutafuta Suluhu ya Ugonjwa duniani
Serikali zingine duniani na Marais wao wamefanya yafuatayo
1. Wanaficha Taarifa za Wagonjwa kwa Wananchi wao
2. Marais wao wanajificha Kuuongelea wakidhani ni Ugonjwa la laana
3. Mawaziri wao wa Afya wakizungumza ni Kuchekacheka tu kama Ngiri na Mizaha mingi
4. Wananchi wao wanajazana hovyo hadi Kujambiana sana katika DalaDala
5. Wanajali sana Mapato ya Kodi kuliko kujua idadi ya Wagonjwa wanaoongezeka
6. Wanaficha Taarifa za Ugonjwa ila chini chini wanaomba Misaada ya Pesa WB
7. Viongozi wao wanakataza Mikusanyiko ila wao wakiongea wanakusanya Watu wengi
Nchi zingine za Afrika bado hajizachelewa Kuiiga Rwanda na hasa Kumuiga Rais wake Mahiri na bora kabisa Paul Kagame.
Katika hili ninampa kongole Rais Kagame.
Kweli kabisa ka nchi Kadogo kama gongo la moto kale.Hivi kwa nchi ndogo kama Rwanda hata kwa Kirikuu unazinguka nchi nzima na kugawa chakula sisi ndio Tukajifunze kwao kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda wanalalamika kua wanapewa kilo moja tu bila kuangalia idadi ya familia no mboga noo mkaa no chochote zaidi ya unga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, mbona kesi zinaongezeka? Mfano bora ni upi ? Kuweka watu ndani tu au kucontain the disease?
Bila dawa au chanjo kuvumbuliwa, nchi zote duniani zitafeli kumaliza hili tatizo.
Rwanda kanchi kadogo kama piriton hata mimi nina uwezo wa kuwapa chakula wote mpaka rais wao.
Acha ujuaji ww mtoa mada.
Unasema Rwanda mfano wa kuigwa mbona licha yalockdown yao Bado maambukizi yanazidi kuongezeka kuliko nchi zote za EA, mpaka kagame ameamua kuongeza mda wa lockdown mpaka 19 April?
Unasema nchi zinaficha data sahihi, twambie wewe unayejua zilizokamili.
Tatzo upinzani wako umekuharibu akili.
Nyie ndo mnapenda kila siku kusikia idadi ya wagonjwa wameongezeka TanzaniA.
Kwa taarifa yako hakuna lockdown Tanzania na Mungu mkuu yupo juu ya ardhi hii sasa.
Mnatumwa na mabeberu
Kupitia huu ujinga ulioandikwa apa nimethibitisha mtoa mada ni popoma wa kutukuka.