Nchi ya Saudi Arabia Imeamrisha kupunguzwa kwa sauti ya Spika za adhana

Amri zote zinazotolewa sasa chini ya utawala wa huyu mwanamfalme ni za kutiliwa shaka.Huyu uislamu wake nao uko mashakani.Mwenyezi Mungu anamuona. Adhana na Qur'an inatikiwa visikike kila mahali na hakuna mgonjwa anayedhurika navyo.
 
Amri zote zinazotolewa sasa chini ya utawala wa huyu mwanamfalme ni za kutiliwa shaka.Huyu uislamu wake nao uko mashakani.Mwenyezi Mungu anamuona. Adhana na Qur'an inatikiwa visikike kila mahali na hakuna mgonjwa anayedhurika navyo.
Mm ni mkristu Ila dunia ya sass ina Mambo snaa mziki WA club ukisikika siyo ishu Ila adhana au kengele ya kanisani wanaona kama inasumbua
 
Saa zote zina alarms itakupigia kelele hadi uamkebsimu pia waweza weka alarm.Adhana ya nini? Huna simu au saa?
 
Amri zote zinazotolewa sasa chini ya utawala wa huyu mwanamfalme ni za kutiliwa shaka.Huyu uislamu wake nao uko mashakani.Mwenyezi Mungu anamuona. Adhana na Qur'an inatikiwa visikike kila mahali na hakuna mgonjwa anayedhurika navyo.
Nyie piganeni kuhusu Dini,hao ndio wenye access zote za kilichomo humo kwenye Dini ambacho wafuasi wengi mnafichwa. Hatua kwa hatua mambo yanabadilika kutoka yalivyopangwa nyuma ya kapeti.
 
Mm ni mkristu Ila dunia ya sass ina Mambo snaa mziki WA club ukisikika siyo ishu Ila adhana au kengele ya kanisani wanaona kama inasumbua
Hujasikia watu wakienda kushtaki hizi kumbi za starehe na mabaa mpaka kufikia kufungiwa au kuambiwa waweke soundproof?
 
Na kile kengele cha Kanisani saa kumi na mbili asubuhi saa sita mchana na saa kumi na mbili jioni hamsemi?Msije kukosana kwa ajili ya hizi dini zilizoletwa na MELI Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…