Nchi ya Singapore na suala la heshima kwa mume wa Rais (First Gentleman)

Nchi ya Singapore na suala la heshima kwa mume wa Rais (First Gentleman)

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Good afternoon JamiiForums

ghgyhg.jpg

Picha rasmi ya Rais ni lazima iwekwe upande wa kushoto na picha ya mumewe upande wa kulia. Picha zote mbili zinapaswa kutengenezwa na kutundikwa sambamba (pair) na kwa urefu unaolingana katika ofisi za umma na binafsi.

Ikiwa nembo ya taifa inapaswa kuwepo ofisini hapo kwa mujibu wa sheria zao, basi inapaswa kuwekwa kati ya picha hizo mbili, na sehemu yake ya juu kuwa sambamba na urefu wa picha hizo.

Hakuna picha au nembo nyingine yoyote inayopaswa kuwekwa juu au pembeni mwa picha hizo mbili. Umbali kati ya picha hizo mbili, au kati ya nembo ya taifa na picha hizo ni hiyari tu ya ofisi husika na halipo kwenye kanuni.

NOVEMBER 2017: The official portraits of President Halimah Yacob and her husband Mohamad Abdullah Alhabshee are available for collection for use at public places such as schools and government buildings.

The unframed portraits will be provided at no cost. The official government website said the portraits must be displayed as a pair, with Madam Halimah's portrait on the left.

lwxsingpresprotrait021117.jpg

ANGALIZO: Tanzania sio Singapore. Sisi Tanzania kama nchi huru tuna taratibu zetu za maisha na namna nzima ya kujiendesha kama taifa kulingana na sheria, kanuni na taratibu zetu na wao Singapore wanazo za kwao.

Pia ikumbukwe sio kila jambo zuri ni la kuiga. SIO KILA JAMBO ZURI NI LA KUIGA LAKINI SINGAPORE WAMEJUA KUIFURAHISHA NAFSI YANGU.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Haaaaa rais wetu ana kinga.

Je, first gentlemen naye awe na kinga?
 
Good afternoon jamiiforums

View attachment 1813298

Picha rasmi ya Rais ni lazima iwekwe upande wa kushoto na picha ya mumewe upande wa kulia. Picha zote mbili zinapaswa kutengenezwa na kutundikwa sambamba (pair) na kwa urefu unaolingana katika ofisi za umma na binafsi.

Ikiwa nembo ya taifa inapaswa kuwepo ofisini hapo kwa mujibu wa sheria zao, basi inapaswa kuwekwa kati ya picha hizo mbili, na sehemu yake ya juu kuwa sambamba na urefu wa picha hizo.

Hakuna picha au nembo nyingine yoyote inayopaswa kuwekwa juu au pembeni mwa picha hizo mbili. Umbali kati ya picha hizo mbili, au kati ya nembo ya taifa na picha hizo ni hiyari tu ya ofisi husika na halipo kwenye kanuni.

NOVEMBER 2017: The official portraits of President Halimah Yacob and her husband Mohamad Abdullah Alhabshee are available for collection for use at public places such as schools and government buildings.

The unframed portraits will be provided at no cost. The official government website said the portraits must be displayed as a pair, with Madam Halimah's portrait on the left.

View attachment 1813299

ANGALIZO: Tanzania sio Singapore. Sisi Tanzania kama nchi huru tuna taratibu zetu za maisha na namna nzima ya kujiendesha kama taifa kulingana na sheria, kanuni na taratibu zetu na wao Singapore wanazo za kwao. Pia ikumbukwe sio kila jambo zuri ni la kuiga. SIO KILA JAMBO ZURI NI LA KUIGA LAKINI HAWA WAMEJUA KUIFURAHISHA NAFSI YANGU.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Je Rais wao nao hashitakiwi kama huku?
 
Kama rais ni Me iwekwe picha ya Me kama ni ke wafanye the same iila sio kuziweka zote katika ofisi za umma
 
Binafsi haya mambo ya kutundika mapicha ya watu ambao hatujuani wala hawanisaidii chochote kwenye kulipa kodi ya ofisini sikubaliani nayo.
 
Sijaona lolote la maana kuhusu huu Uzi!
Kuhusu ANGALIZO, kwani wewe umesikia nini hadi ukaleta Uzi huu?
Naona kama vile umetunga swali na ukaamua kujibu mwenyewe!
 
Kwanza huyo jamaa ana wake wengi ,
Ndio maana Mama hata hata kuambatana naye nini, kwamba anasema si uliona mwengine anamvuto zaidi ukaamua kumuongeza haya kaa naye
 
ofisi nyingi sasa hivi ukiingia picha za jiwe hakuna,,
ni mama samiha tuu au bahati nzuri uzikute na JK na NYERERE.
sijui jiwe aliwakosea nini watu
 
Back
Top Bottom