Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hakika Nchi yangu Ngumu sana
CCM Wanafanya Mikutano bila hata Kibali cha Polisi
Vyama vya Upinzani pamoja na kutii Sheria bila Shuruti lakini Wanakatazwa kufanya Mikutano.
Nchi yangu kweli Demokasia HATUIJUI na TUNAIOGOPA
CCM Wanafanya Mikutano bila hata Kibali cha Polisi
Vyama vya Upinzani pamoja na kutii Sheria bila Shuruti lakini Wanakatazwa kufanya Mikutano.
Nchi yangu kweli Demokasia HATUIJUI na TUNAIOGOPA