Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Viwanda ndio uchumi imara, Kama huna viwanda vya kutosha huwezi kuwa na uchumi mzuri. Hakuna maendeleo au ukuaji mzuri wa kiuchumi bila kuwa na uzalishaji unaotokana na viwanda kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali hizi ndizo nchi zilizoendelea kiviwanda katika bara Africa.
1)- South Africa 🇿🇦
2)- Egypt 🇪🇬
3)- Morocco 🇲🇦
4)- Tunisia 🇹🇳
5)- Nigeria 🇳🇬
6)- Mauritius 🇲🇺
7)- Senegal 🇸🇳
8)- Kenya 🇰🇪
9)- Namibia 🇳🇦
10)- Cameroon 🇨🇲
1)- South Africa 🇿🇦
2)- Egypt 🇪🇬
3)- Morocco 🇲🇦
4)- Tunisia 🇹🇳
5)- Nigeria 🇳🇬
6)- Mauritius 🇲🇺
7)- Senegal 🇸🇳
8)- Kenya 🇰🇪
9)- Namibia 🇳🇦
10)- Cameroon 🇨🇲