Nchi za EA zagawanyika katika mbinu za kupambana na maambukizi ya Corona

Nchi za EA zagawanyika katika mbinu za kupambana na maambukizi ya Corona

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wakati Rwanda na Uganda zikitumia njia ya "lockdown without mass testing", nchi ya Kenya imeamua kutumia njia ya " mass testing without "lockdown", Tanzania na Burundi zimeamua kudhibiti wageni na kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14, na kuendelea kuwatahadharisha raia wao umuhimu wa kuchukua tahadhari na kuepuka mikusanyiko isoyokua ya lazima.

Mimi binafsi ninadhani ili ni jambo jema sana, kwasababu huu ni ugonjwa mpya, hakuna mwenye kujua na uhakika hasa njia ipi ni sahihi, yule atakayefanikiwa atatumika kama "reference" kwa nchi zingine.

Kila la kheri katika mapambano, kwa wale watakao toboa tunawatakia maisha mazuri na marefu baada ya huu mtiti, ila kwa wale watakaoaga dunia, tutakutana tena kwenye paradisooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Mkuu,umekuwa na ungwana. Fungua nyuzi za aina hii. Sio ushabiki kila wakati!
Pewa Serengeti nitalipia.
 
Wakati Rwanda na Uganda zikitumia njia ya "lockdown without mass testing", nchi ya Kenya imeamua kutumia njia ya " mass testing without "lockdown", Tanzania na Burundi zimeamua kudhibiti wageni na kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14, na kuendelea kuwatahadharisha raia wao umuhimu wa kuchukua tahadhari na kuepuka mikusanyiko isoyokua ya lazima.

Mimi binafsi ninadhani ili ni jambo jema sana, kwasababu huu ni ugonjwa mpya, hakuna mwenye kujua na uhakika hasa njia ipi ni sahihi, yule atakayefanikiwa atatumika kama "reference" kwa nchi zingine.

Kila la kheri katika mapambano, kwa wale watakao toboa tunawatakia maisha mazuri na marefu baada ya huu mtiti, ila kwa wale watakaoaga dunia, tutakutana tena kwenye paradisooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!naona kidogo leo zimerudi sehemu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Mkuu,umekuwa na ungwana. Fungua nyuzi za aina hii. Sio ushabiki kila wakati!
Pewa Serengeti nitalipia.
Kaka mimi ni mtu muungwana sana, ila sipendezwi sana na tabia ya mtu au watu kujikweza na kuwaona wengine hawapo sahihi isipokua wao, jaribuni kuzungimza kama nilivyozungumza katika huu uzi kama mtaona nikijibu kwa kushambulia, siku zote ninawaambia jaribuni kuwa "humble" ili tuweze kuwa na mijadala mizuri isiyo na mikwaruzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HOW COVID-19 KILLS--I'm a Surgeon--And Why We Can't Save You



Source : Duc C. Vuong MD

N.B
Gonjwa la Covid-19 lipo hivyo tuzingatie maelekezo tunayopewa na Wizara ya Afya jinsi ya kujikinga na corona kwa kufuata hatua hizi rahisi : epuka misongamano, kukumbatiana, kusogeleana , epuka kuwa abiria wa bodaboda, nawa mikono mara kwa mara kwa maji yanayotiririka n.k
 
Wangapi wako quarantine tanzania hadi sasa?
Na mumepima wangapi hadi sasa?
 
Kaka mimi ni mtu muungwana sana, ila sipendezwi sana na tabia ya mtu au watu kujikweza na kuwaona wengine hawapo sahihi isipokua wao, jaribuni kuzungimza kama nilivyozungumza katika huu uzi kama mtaona nikijibu kwa kushambulia, siku zote ninawaambia jaribuni kuwa "humble" ili tuweze kuwa na mijadala mizuri isiyo na mikwaruzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kuna Jambo ukilielewa na Wakenya hutapata shida nao. Tofautisha their aggressive attitude na "arrogance" ambapo kidogo ndio ndugu wetu Watz huona kama majigambo.
 
Mkuu, kuna Jambo ukilielewa na Wakenya hutapata shida nao. Tofautisha their aggressive attitude na "arrogance" ambapo kidogo ndio ndugu wetu Watz huona kama majigambo.
Hapana kaka, unaposema kwamba Tanzania maambukizi ni machache kwasababu hawana uwezo wa kupima watu wengi, ila Kenya tunauwezo wa kupima watu wengi ndio sababu idadi ni kubwa, hiyo statement unadhani inalenga nini kama sio kutegemea mikwaruzano isiyokuwa na sababu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kuna Jambo ukilielewa na Wakenya hutapata shida nao. Tofautisha their aggressive attitude na "arrogance" ambapo kidogo ndio ndugu wetu Watz huona kama majigambo.
LOL aggressive attitude ipi? Mnakung'utwa na police kama magunia na mnatii, si mngeleta timbwili kama ninyi kweli mpo aggressive 😂😂😂😂😂
 
Heri kufa korona kuliko kufa njaa. Lockdown bila chakula cha bure ni hukumu ya kifo.
Hongera Rwanda kwa kutambua hilo, kenya na kawaida yao maamuzi ya kukurupuka mbio zenu zitaishia ukingoni mda sio mrefu
 
Hapana kaka, unaposema kwamba Tanzania maambukizi ni machache kwasababu hawana uwezo wa kupima watu wengi, ila Kenya tunauwezo wa kupima watu wengi ndio sababu idadi ni kubwa, hiyo statement unadhani inalenga nini kama sio kutegemea mikwaruzano isiyokuwa na sababu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni ukosefu wa uelewa, kuwa na wagonjwa wengi ni sifa nayo? Mbona nchi hawapata kesi hizo ? Hao nao wapo kama manyang'au vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni ukosefu wa uelewa, kuwa na wagonjwa wengi ni sifa nayo? Mbona nchi hawapata kesi hizo ? Hao nao wapo kama manyang'au vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hawataki kukubali kwamba wana mapungufu, kila kitu watageuza kuonyesha kwamba wao wapo vizuri, ina maana huko Europe ni Italy, Spain na UK pekee ndio zenye uwezo wa kupima ndio sababu wana idadi kubwa ya maambukizi?, hawa jamaa ni watu wa ajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hawataki kukubali kwamba wana mapungufu, kila kitu watageuza kuonyesha kwamba wao wapo vizuri, ina maana huko Europe ni Italy, Spain na UK pekee ndio zenye uwezo wa kupima ndio sababu wana idadi kubwa ya maambukizi?, hawa jamaa ni watu wa ajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujuaji mwingi , itakuwa ndiyo hao walizusha kuwa Burundi haina wagonjwa kwasababu hawana vipimo akili nyingine jamani, kama walianza kuchukua hatua mapema na nyie mkajifanya wajuaji, upuuzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom