[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6][emoji4]Duu yaani zile bakora hapana police hao mie hata sijui kama ningenyanyuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikija tz wote mtajifungia ndan[emoji3][emoji3][emoji3]LOL Kuna mwanaume mmoja alikua anapigwa halafu analia kama ng'ombe [emoji23][emoji23][emoji23]
What do you understand by the term aggressive? Naona kidogo maana yake hujui? Umekimbia kuleta pumbaLOL aggressive attitude ipi? Mnakung'utwa na police kama magunia na mnatii, si mngeleta timbwili kama ninyi kweli mpo aggressive πππππ
Jifunze kupitia hyo table jomba..huo ugonjwa hautabiriki hata kidogo na wala sio wa mzaha km wengi wanavyofikiria hapa..mi bora nikakaa kimya tuHapana kaka, unaposema kwamba Tanzania maambukizi ni machache kwasababu hawana uwezo wa kupima watu wengi, ila Kenya tunauwezo wa kupima watu wengi ndio sababu idadi ni kubwa, hiyo statement unadhani inalenga nini kama sio kutegemea mikwaruzano isiyokuwa na sababu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninasema hivi?, wiki mbili zijazo ndio zitatoa majibu, nani yupo sahihi kati ya yule mwenye kutumia nguvu nyingi katika kupima na kusoma majibu kwenye vyombo vya habari kila siku, na yule ambaye anapoteza nguvu nyingi katika kudhibiti wageni wanaoingia nchini na kufuatilia watu waliokutana na wagonjwa.Jifunze kupitia hyo table jomba..huo ugonjwa hautabiriki hata kidogo na wala sio wa mzaha km wengi wanavyofikiria hapa..mi bora nikakaa kimya tu
View attachment 1406239
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kuna Jambo ukilielewa na Wakenya hutapata shida nao. Tofautisha their aggressive attitude na "arrogance" ambapo kidogo ndio ndugu wetu Watz huona kama majigambo.
LOL pewa mkong'oto kwa bill yangu ππππWhat do you understand by the term aggressive? Naona kidogo maana yake hujui? Umekimbia kuleta pumba
Nataka hii jibu,
Lazma tuwe transparent as a block.
Juu Uganda jana walipima 100 wakapata 11 children nayo.
Jifunze kupitia hyo table jomba..huo ugonjwa hautabiriki hata kidogo na wala sio wa mzaha km wengi wanavyofikiria hapa..mi bora nikakaa kimya tu
View attachment 1406239
Sent using Jamii Forums mobile app