Nchi za kiarabu na mnatakiwa kuwashawishi HAMAS haraka kuwaachia mateka wa kiisraeli ili kuokoa maisha ya wanachi,watumishi wa afya huko Gaza
Kwa makosa ambayo HAMAS ilifanya kujenga mahandaki ya kujifichia na kupanga mashambulizi chini ya hospitali shule,kambi za wakimbizi , na israel kuapa kuwamaliza hamas, ni dhahiri mpango wa dharula kuwashawishi hamas kuwachia mateka ni wa mhimu sana kuliko kuishawishi israel kusitisha vita dhidi ya Hamas.HAMAS imevunja sheria za kimataifa kwa kujificha china ya hospitali ,shule na maeneo mengine ya huduma za wananchi
Tafadhali sana nchi za kiarabu , UN ETC okoeni jahazi haraka. HAMAS wakubari kushindwa na kutafuta suluhisho la amani na siyo vita. MBINGU NA ARDHI haviko upande wenu kwa sababu mlichokifanya hakikubariki mbinguni na duniani. unachificha jini ya hospitali na shule kwa kupanga mauaji then unataka watu wakuelewe? Mungu akuelewe?
too bad
Kwa makosa ambayo HAMAS ilifanya kujenga mahandaki ya kujifichia na kupanga mashambulizi chini ya hospitali shule,kambi za wakimbizi , na israel kuapa kuwamaliza hamas, ni dhahiri mpango wa dharula kuwashawishi hamas kuwachia mateka ni wa mhimu sana kuliko kuishawishi israel kusitisha vita dhidi ya Hamas.HAMAS imevunja sheria za kimataifa kwa kujificha china ya hospitali ,shule na maeneo mengine ya huduma za wananchi
Tafadhali sana nchi za kiarabu , UN ETC okoeni jahazi haraka. HAMAS wakubari kushindwa na kutafuta suluhisho la amani na siyo vita. MBINGU NA ARDHI haviko upande wenu kwa sababu mlichokifanya hakikubariki mbinguni na duniani. unachificha jini ya hospitali na shule kwa kupanga mauaji then unataka watu wakuelewe? Mungu akuelewe?
too bad