Nchi za kiarabu zaupiga kofi mpango wa Trump na Netanyahu kuhusu Gaza. Wasema wana mpango bora zaidi

Nchi za kiarabu zaupiga kofi mpango wa Trump na Netanyahu kuhusu Gaza. Wasema wana mpango bora zaidi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani.

Raisi Elsisi ambaye mara nyingi ameonekana kama kibaraka mkubwa wa Marekani ameongoza kwa kutoa tamko kali akisema zaidi ya kuijenga Gaza wanataka kuona taifa la Palestina likiundwa haraka japo iwe sambamba na kubaki kwa Israel.

Waarabu hao wamesema watachangia jumla ya dola bilioni 53 kwa kazi hiyo itakayokuwa na awamu tatu muhimu.

Ya kwanza ni kuwaingiza wapalestina kwenye mahema na nyumba za kontena haraka iwezekanavyo na ifuatiwe na kusafishwa kifusi pamoja na kufyatua mabomu yaliyobaki ndani ya Gaza ambayo hayakuripuka

Arab plan ‘a complete rejection’ of Trump’s Gaza ‘takeover’ plan

 
vitisho vya Trump vilikuwa ni mkakati wa kuwapush waarabu wajenge haraka kwa pesa zao wenyewe

strategy imefanikiwa
 
Lengo lilikuwa kuwapush waarabu wajenge haraka,
Na wamesema wakijenga wasione majengo yakivunjwa tena.
Ufupi wa mambo Netanyahu na Trump wamenasa kwenye mtego wa Allah na hawana kinachowasubiri isipokuwa kuporomoka kama nyani mgonjwa.
 
Na wamesema wakijenga wasione majengo yakivunjwa tena.
Ufupi wa mambo Netanyahu na Trump wamenasa kwenye mtego wa Allah na hawana kinachowasubiri isipokuwa kuporomoka kama nyani mgonjwa.
Hamas wakitulia hakuna hata kioo kitavunjwa

wakianza upuuzi wao wa from the river to the sea, vyuma vitashushwa kama kawaida
 
Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani.
Raisi Elsisi ambaye mara nyingi ameonekana kama kibaraka mkubwa wa Marekani ameongoza kwa kutoa tamko kali akisema zaidi ya kuijenga Gaza wanataka kuona taifa la Palestina likiundwa haraka japo iwe sambamba na kubaki kwa Israel.
Waarabu hao wamesema watachangia jumla ya dola bilioni 53 kwa kazi hiyo itakayokuwa na awamu tatu muhimu.Ya kwanza ni kuwaingiza wapalestina kwenye mahema na nyumba za kontena haraka iwezekanavyo na ifuatiwe na kusafishwa kifusi pamoja na kufyatua mabomu yaliyobaki ndani ya Gaza ambayo hayakuripuka
Na wimbo wao huu mpya

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1897035715894239499
 
Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani.
Raisi Elsisi ambaye mara nyingi ameonekana kama kibaraka mkubwa wa Marekani ameongoza kwa kutoa tamko kali akisema zaidi ya kuijenga Gaza wanataka kuona taifa la Palestina likiundwa haraka japo iwe sambamba na kubaki kwa Israel.
Waarabu hao wamesema watachangia jumla ya dola bilioni 53 kwa kazi hiyo itakayokuwa na awamu tatu muhimu.Ya kwanza ni kuwaingiza wapalestina kwenye mahema na nyumba za kontena haraka iwezekanavyo na ifuatiwe na kusafishwa kifusi pamoja na kufyatua mabomu yaliyobaki ndani ya Gaza ambayo hayakuripuka
Wanadamu hawajawahi kuacha kuwa wanafiki. Hizo nchi za kiarabu walishindwa nini kuungana na kuziia Gaza isishambuliwe wakaacha hadi imemalizwa ndio wanajitokeza eti wakaijenge? Unafiki wa kiwango cha lami huu! Ni sawa na mgonjwa anaugua na uwezo wa kumtibu akapona unao lakini unamwacha augue mpaka afe halafu ukaoneshe ufahari wa kwenda kuwafariji waombolezaji
 
vitisho vya Trump vilikuwa ni mkakati wa kuwapush waarabu wajenge haraka kwa pesa zao wenyewe

strategy imefanikiwa
Sio kweli! Mkakati wa Trump nikuunga mkono wazo la wahafidhina wa kizayuni kuifanya Gaza inhospitable! Ndio maana operation yao ya kwanza ilikuwa kutia zege kwenye vyanzo vya maji! Ili Wapelestina wahame waende Sinai!
Hili ni pigo kwa Trump kitakachofuata ni kisasi cha Trump nacho ni kukata misaada ya kijeshi kwa Egypt, Jordan, Saudia na Bahrain
 
Waje waimbe wimbo mpya wa funga ya Ramadhani ya Kipagani. Tunajua kuwa hata tempo akiwa muislam tu basi atakuwa gaidi
Screenshot_20250305_152618.jpg
 
Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani.

Raisi Elsisi ambaye mara nyingi ameonekana kama kibaraka mkubwa wa Marekani ameongoza kwa kutoa tamko kali akisema zaidi ya kuijenga Gaza wanataka kuona taifa la Palestina likiundwa haraka japo iwe sambamba na kubaki kwa Israel.

Waarabu hao wamesema watachangia jumla ya dola bilioni 53 kwa kazi hiyo itakayokuwa na awamu tatu muhimu.

Ya kwanza ni kuwaingiza wapalestina kwenye mahema na nyumba za kontena haraka iwezekanavyo na ifuatiwe na kusafishwa kifusi pamoja na kufyatua mabomu yaliyobaki ndani ya Gaza ambayo hayakuripuka
Kibaraka halafu anatoa tamko kali
 
Na wamesema wakijenga wasione majengo yakivunjwa tena.
Ufupi wa mambo Netanyahu na Trump wamenasa kwenye mtego wa Allah na hawana kinachowasubiri isipokuwa kuporomoka kama nyani mgonjwa.
Hizo ni ndoto za Mwendawazimu!!!!
 
Kama huwajui hao ndiyo waarabu sasa?? Ni wanafiki kupindukia na ni Waongo kupita Shetani!!!
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Hamas wakitulia hakuna hata kioo kitavunjwa

wakianza upuuzi wao wa from the river to the sea, vyuma vitashushwa kama kawaida
Mzee Baba waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alishasema Hamas hawezi tena kuiongoza Gaza. Anachotaka yeye ni FREE PALESTINE FROM HAMAS!!!
 
Sio kweli! Mkakati wa Trump nikuunga mkono wazo la wahafidhina wa kizayuni kuifanya Gaza inhospitable! Ndio maana operation yao ya kwanza ilikuwa kutia zege kwenye vyanzo vya maji! Ili Wapelestina wahame waende Sinai!
Hili ni pigo kwa Trump kitakachofuata ni kisasi cha Trump nacho ni kukata misaada ya kijeshi kwa Egypt, Jordan, Saudia na Bahrain
Saudia mtoe hapo .. usa anamhitaji saudia kuliko saudia anavyomhitaji usa .. na kuna siku saudia itaamka usingizini
 
Mzee Baba waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alishasema Hamas hawezi tena kuiongoza Gaza. Anachotaka yeye ni FREE PALESTINE FROM HAMAS!!!
Atakufa na atawawacha Hamas wakiendelea kuongoza mapambano mpaka wapate ardhi zao.
 
Back
Top Bottom