Habarini wakuu, nasikia kuna kombe la Dunia la wanawake linaendelea huko, nape nda kufahamu, je mataifa ya Kiislam yanayojua soka kama Egypt, Iran, Uturuki, Saudi Arabia huwa zinashiriki kwenye haya mashindano kama zinavyoshiriki kwenye mashindano ya wnaume?
Je kama wanashiriki, wachezaji wao wanavaaje? Asanteni