Nchi za magharibi haziamini tena juu ya Free Market?

Nchi za magharibi haziamini tena juu ya Free Market?

Ni rahisi sana kuhubiri kuhusu free market (Biashara Huria) iwapo upo kwenye advantage. Lakini ukiwa unajitafuta biashara huria ni ugonjwa mbaya sana. Nchi za magharibi zimehubiri sana kuhusu biashara huria. Watu wafanye biashara na bidhaa zizunguke duniani bila vikwazo. Ikafika hadi nchi maskini tukaaminishwa kuwa biashara huria ni nzuri hata kwetu, na tukaamini.

Leo hii China ndiyo yupo kwenye advantage ya kuzalisha na kuuza duniani. Nchi za magharibi zimeanza kuona machungu ya biashara huria. Kazi za uzalishaji zinakufa na ajira zinapotea sababu bidhaa zao haziwezi kushindana na za China. Sasa wameanza figisu dhidi ya China.

Wanamuandama mchina kwenye kila sekta ya biashara. Sehemu moja ni kwenye magari ya umeme. China amejipanga sana kwenye hii sekta. Inaongoza kwenye kila nyanja inayohusu magari ya umeme. Nchi za magharibi haziwezi kabisa kushindana naye.

Biashara huria waliyokuwa wanahubiri imerudi kuwatafuna. Wameamua kupambana naye kwa kumuwekea vikwazo magari yake ya umeme yasiingie nchi zao kirahisi. Wanayapiga kodi kubwa huku wakitoa visingizio kibao.

Wanakataa bidhaa za pamba kutoka China zisiingie nchi zao kwa kisingizio kuwa zinalimwa na Uighurs wanaokandamizwa. Piga ban Huawei, Tik Tok kwa visingizio kibao(Japo China nao wameban makampuni ya tech ya magharibi).

Nchi za magharibi zimeishauona ubaya wa soko huria?
mchina anazidi kuipiga kwenye mshono.... Nmeona kuwa UAE imeamua kununua ndege za kivita za kichina za j1-20 badala ya F-35 ya mmarekani.
yani anakaba kila kona. Umoja wa Ulaya wanahaha hadi nimeona wanasema ili kuweza kushindana na mchina wanapaswa kila mwaka watumie sijui euro bilioni 800 kwa ajili ya uwekezaji nazo haijulikani zinatoka wapi.
Yani mchina kageuka zimwi sasa hivi. Kampuni za magari kama VW na Benz wanaomba umoja wa ulaya ufikirie upya kuhusu vikwazo walivyoweka kwa gari za mchina maana mchina akijibu watapoteza soko kubwa pia maana mchina ni soko kubwa la magari yao.
 
Pamoja na hilo bado wana trade deficit. Kuwa na trade surplus ni muhimu kuliko ukubwa wa export yako. Hizo tariffs zote dhidi ya bidhaa za China ni katika kupambana na trade deficit. Nchi karibu zote za magharibi zinakabiliwa na hatari ya trade deficit.
Hujamaliza moja unarukia lingine, kaa sehemu moja utulie. Umesema export sector ya Marekani imekufa na kwamba wamebaki na uchumi wa vinyozi na mama ntilie n.k nimekuonyesha hapo wao ni namba 2 kwa exports duniani umerukia mambo ya trade deficit!
 
Ni rahisi sana kuhubiri kuhusu free market (Biashara Huria) iwapo upo kwenye advantage. Lakini ukiwa unajitafuta biashara huria ni ugonjwa mbaya sana. Nchi za magharibi zimehubiri sana kuhusu biashara huria. Watu wafanye biashara na bidhaa zizunguke duniani bila vikwazo. Ikafika hadi nchi maskini tukaaminishwa kuwa biashara huria ni nzuri hata kwetu, na tukaamini.

Leo hii China ndiyo yupo kwenye advantage ya kuzalisha na kuuza duniani. Nchi za magharibi zimeanza kuona machungu ya biashara huria. Kazi za uzalishaji zinakufa na ajira zinapotea sababu bidhaa zao haziwezi kushindana na za China. Sasa wameanza figisu dhidi ya China.

Wanamuandama mchina kwenye kila sekta ya biashara. Sehemu moja ni kwenye magari ya umeme. China amejipanga sana kwenye hii sekta. Inaongoza kwenye kila nyanja inayohusu magari ya umeme. Nchi za magharibi haziwezi kabisa kushindana naye.

Biashara huria waliyokuwa wanahubiri imerudi kuwatafuna. Wameamua kupambana naye kwa kumuwekea vikwazo magari yake ya umeme yasiingie nchi zao kirahisi. Wanayapiga kodi kubwa huku wakitoa visingizio kibao.

Wanakataa bidhaa za pamba kutoka China zisiingie nchi zao kwa kisingizio kuwa zinalimwa na Uighurs wanaokandamizwa. Piga ban Huawei, Tik Tok kwa visingizio kibao(Japo China nao wameban makampuni ya tech ya magharibi).

Nchi za magharibi zimeishauona ubaya wa soko huria?
Wakipiga Pini pamba Tanzania lazima kitulambe maana mzigo mwingi unaenda china
 
Hakuna anayesema kwenye free market hakuna kodi. Lakini lengo la kodi ni mapato na si kucontrol bei ya bidhaa.
Sio kila bidhaa ina maslahi kwa nchi, kama nchi inatumia pesa nyingi kutibu majeruhi watokanao na ajali za pikipiki na inapoteza nguvu kazi kubwa ya vijana kupitia ajali za pikipiki suluhisho mojawapo ni kuongeza kodi za pikipiki ili vijana wakafanye kazi nyingine tofauti na bodaboda na pia hizo kodi zikajenge hospital nyingi zaidi na kuajiri madaktari wengi.

Pia control ya bei sio tatizo wala haiiondoi nchi katika free market economy, kodi yoyote ile tayari ni kuingilia bei iwe kwa kukusudia au kutokusudia hivyo, mjadala mkubwa ni jinsi gani hiyo control inafanyika, kwa sababu zipi, kwa maslahi ya nani, kwa ukubwa gani na kwa ufanisi gani. Katika free market economy kuna "welfare capitalism" pia
 
Siyo kinyume sema mbadala wa soko huria ni 👉 Strategic market hapa ndipo wazungu wao wana cheza huku wakiwaambia wapumbavu wa ccm wafanye soko huria
Hamuwezi hata kununua bidhaa za Wazungu. Bidhaa zote mnanunua China, mafuta mnanuna uarabuni. Softwares hamuwezi kuunda kwa hiyo hamna namna ila kuendelea kutumia Microsoft, twitter, Android, WhatsApp n.k. Watalii wazungu bado mnategemea pesa zao sasa hata msipoambiwa muwe na soko huria mna mbadala gani??
 
Hamuwezi hata kununua bidhaa za Wazungu. Bidhaa zote mnanunua China, mafuta mnanuna uarabuni. Softwares hamuwezi kuunda kwa hiyo hamna namna ila kuendelea kutumia Microsoft, twitter, WhatsApp n.k. Watalii wazungu bado mnategemea pesa zao sasa hata msipoambiwa muwe na soko huria mna mbadala gani??
Umesoma nilicho andika au? Nimekuambia mbadala ni soko la kimkakati (strategic market)
 
Siku ukifika mahakamani ndio utajua tofauti ya manslaughter na murder, pia kodi ni sehemu ya free market, kila taifa linaamua ukubwa wa kodi zake kwa sababu zake, WTO walitakiwa wawaambie serikali ya Wakomunisti China kwanza wasiwe wanafanya devaluation ya currency yao ili ku boost exports zao.
Kodi inazopigwa china ni za protectionism
 
Inahitajika nguvu nyingi kutetea kodi ya Chinese EVs ndani ya Marekani. Justification yake ni ndogo sana, ni kupunguza ushindani kwa nguvu ya kodi.

Tofauti ya nchi za Afrika ni kuwa wajinga wakurupukaji wa mifumo ya kidunia ambayo haina maslahi kwake. Wakati wazungu mfumo ukishaenda kinyume nao wanatafuta alternative au visingizio.
 
Kodi inazopigwa china ni za protectionism
US wana sera za protectionism katika uhai wake wote kama taifa, hizo tariffs kwa Wachina ni sehemu mojawapo tu na hazijaanza leo, US wamekuwa wanawapa wakulima wao (ruzuku)subsidies, wanadhibiti intellectual property rights za watu wake, serikali inadhibiti pakubwa mauzo ya silaha muhimu nje ya nchi n.k sasa sijui kwa nini hao Wachina kuwekwa tariffs tu leo hii ndio iifanye US kutokuwa free market economy!

Nchi inaweza kuwa free market economy bila kuwa na free trade.
 
Ni rahisi sana kuhubiri kuhusu free market (Biashara Huria) iwapo upo kwenye advantage. Lakini ukiwa unajitafuta biashara huria ni ugonjwa mbaya sana. Nchi za magharibi zimehubiri sana kuhusu biashara huria. Watu wafanye biashara na bidhaa zizunguke duniani bila vikwazo. Ikafika hadi nchi maskini tukaaminishwa kuwa biashara huria ni nzuri hata kwetu, na tukaamini.

Leo hii China ndiyo yupo kwenye advantage ya kuzalisha na kuuza duniani. Nchi za magharibi zimeanza kuona machungu ya biashara huria. Kazi za uzalishaji zinakufa na ajira zinapotea sababu bidhaa zao haziwezi kushindana na za China. Sasa wameanza figisu dhidi ya China.

Wanamuandama mchina kwenye kila sekta ya biashara. Sehemu moja ni kwenye magari ya umeme. China amejipanga sana kwenye hii sekta. Inaongoza kwenye kila nyanja inayohusu magari ya umeme. Nchi za magharibi haziwezi kabisa kushindana naye.

Biashara huria waliyokuwa wanahubiri imerudi kuwatafuna. Wameamua kupambana naye kwa kumuwekea vikwazo magari yake ya umeme yasiingie nchi zao kirahisi. Wanayapiga kodi kubwa huku wakitoa visingizio kibao.

Wanakataa bidhaa za pamba kutoka China zisiingie nchi zao kwa kisingizio kuwa zinalimwa na Uighurs wanaokandamizwa. Piga ban Huawei, Tik Tok kwa visingizio kibao(Japo China nao wameban makampuni ya tech ya magharibi).

Nchi za magharibi zimeishauona ubaya wa soko huria?
Wakitubana Sisi halali yao, sasa wamebanwa na china imekuwa haramu .
 
US ndio nchi namba mbili kwa exports duniani baada ya China. US wana exports za $Trillion 3 kwa mwaka wakiwafuatia China wenye exports $Trillion 3.5
Hii imekaaje wa kwanza awekwa wa mwisho. tangu sasa hufai kua mchambuzi wa haya mambo tena
 
Back
Top Bottom