Nchi zenye maskini wengi wa kutupwa, japo Kenya imo lakini kunao walio hoi zaidi yetu

Nchi zenye maskini wengi wa kutupwa, japo Kenya imo lakini kunao walio hoi zaidi yetu

I can't see my thread😂😂😂😂 wanaogopa sana. Najua imekua reported Mara kadhaa ikatolewa
 
Ok, lets discuss it then,

Kenya population is 40m, right???

Then take 14.7mn poor kenyans /40mn = 38%

So 38% kenyans are extremely poor,


The same formula to Tz
19.9m poor tzs/60mn = 33%

Then who is poorer???
Dingi shirikisha ubongo wakati unashea vitu zako humu next time.
Nilitaka wapea hii maths, ushamaliza.
 
Ok, lets discuss it then,

Kenya population is 40m, right???

Then take 14.7mn poor kenyans /40mn = 38%

So 38% kenyans are extremely poor,


The same formula to Tz
19.9m poor tzs/60mn = 33%

Then who is poorer???
Dingi shirikisha ubongo wakati unashea vitu zako humu next time.

Hivi data za Kenya bado mnatumia mlizopewa miaka ile ya Nyerere, elimu yenu haijawafundisha kujiongeza, hakuna Mtanzania hujaribu kujiongeza walau hata hatua moja, kuna siku nilikua kwenye bus na Watanzania, wakaanza kujadili mambo ya Kenya, yaani nilizuia kicheko muda wote, mpo mpo tu, mliaminishwa vitu vya ajabu ambavyo haviwatoki hata kwa elimu yenu duni, mumeganda na kudumaa.....

Last time I checked Kenya's population was 49.7m.... I believe by now we are 51m which makes our poor less than 30%
We beat you in whichever way you look at it, most starving nations mpo mbaya zaidi ya Kenya, extreme poverty mpo hoi zaidi yetu, yaani kila kitu.
Endeleeni kuaminishana mambo ya kujifariji lakini Kenya inapiga hatua kwa turbo chargers. Pengo la uchumi baina yetu limeongezeka, ukilinganisha miaka ishirini iliyopita na leo, tunazidi kuwaacha kwa mbali...
 
Data sio matumizi.........wapi wanakufa kwa njaaa sana......1st world kantre
 
Ok, lets discuss it then,

Kenya population is 40m, right???

Then take 14.7mn poor kenyans /40mn = 38%

So 38% kenyans are extremely poor,


The same formula to Tz
19.9m poor tzs/60mn = 33%

Then who is poorer???
Dingi shirikisha ubongo wakati unashea vitu zako humu next time.
Duh! The reputable tz economist Mkikuyu- Akili timamu come for your students.They are exposing the stupidity you taught them .
 
Ok, lets discuss it then,

Kenya population is 40m, right???

Then take 14.7mn poor kenyans /40mn = 38%

So 38% kenyans are extremely poor,


The same formula to Tz
19.9m poor tzs/60mn = 33%

Then who is poorer???
Dingi shirikisha ubongo wakati unashea vitu zako humu next time.

Never stops cooking data.
When was Kenya's population 40 million, 1999?

Kenya is approaching 50 million people.
 
Back
Top Bottom