Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
If I'm not mistaken, we used to have a connection speed of about 10Mbps, some years back before we wrere connected to the National Backbone, popularly known as Mkongo wa Taifa. Kwenye around 2006 nadhani tukawa tumeunganishwa kwenye huu mkongo na speed ikawa iko marvelous. As of recent, hata 1Mbps ni shida kuipata, unless uwe unatumia private, wa hawa wenzetu ambao ni cellphone provider. sasa mimi nimekaa nikiwa najiuliza maswali kwamba hii bandwith huwa inakwenda wapi? Hata kama mtandao wetu uwe labda possibly congested sana but I'm optimistic kwamba our connection speed cannot go that low, despite the congestion issue
Uwezo wa mitambo yao ni mdogo kwahiyo unakuta ni mwendo wa voice kwanza data baadae.