Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Makundi ya Kigaidi huwezi kuyamaliza kama hujadhoofisha nguvu ya mfadhili wao
Wengi tumeona vita vya Israel na makundi yaliyokuwa yakiisumbua nchi hiyo
IDF hakuwa akipiga wanamgambo tu wa makundi ya kigaidi, bali aliwapiga na wafadhili wao wakuu na kuwadhoofisha kabisa, pale alipopiga mitambo mingi ya kutengeneza siraha na hata mitambo ya kutengeneza mabomu, rada mbalimbali za kiulinzi kule Iran na Iran akaogopa na kukaa kimya
Nchi hizi zilizoungana kupambania Congo na kupigana na wanamgambo wa M23, kwa nini sasa zisitumie mbinu hii kushambulia moja kwa moja mfadhili wa kundi hilo?
Siku hizi wapiganaji hununuliwa kwa fedha, huwezi kulishinda kundi linalofadhiliwa na nchi ambayo iko na malengo katika hilo,
Ili kushinda makundi kama hayo, ni kumpiga mfahili wao
Na ama hakuna mpango huo, basi tuendelee kupokea maiti za watu wetu kizembe
Na itafika hatua hatutakubali kupelekwa wanajeshi wetu kwenye jambo ambalo halitupi faida kama nchi zetu,
Nazungumzia hasara kwa sababu tumeamua kuukwepa kuukata mziizi wa fitina
Apigwe mfadhili wa kundi la M23 na hakutakuwa na vita tena Congo
Mungu Ibariki Tanzania, na Mungu ibariki Africa
Wengi tumeona vita vya Israel na makundi yaliyokuwa yakiisumbua nchi hiyo
IDF hakuwa akipiga wanamgambo tu wa makundi ya kigaidi, bali aliwapiga na wafadhili wao wakuu na kuwadhoofisha kabisa, pale alipopiga mitambo mingi ya kutengeneza siraha na hata mitambo ya kutengeneza mabomu, rada mbalimbali za kiulinzi kule Iran na Iran akaogopa na kukaa kimya
Nchi hizi zilizoungana kupambania Congo na kupigana na wanamgambo wa M23, kwa nini sasa zisitumie mbinu hii kushambulia moja kwa moja mfadhili wa kundi hilo?
Siku hizi wapiganaji hununuliwa kwa fedha, huwezi kulishinda kundi linalofadhiliwa na nchi ambayo iko na malengo katika hilo,
Ili kushinda makundi kama hayo, ni kumpiga mfahili wao
Na ama hakuna mpango huo, basi tuendelee kupokea maiti za watu wetu kizembe
Na itafika hatua hatutakubali kupelekwa wanajeshi wetu kwenye jambo ambalo halitupi faida kama nchi zetu,
Nazungumzia hasara kwa sababu tumeamua kuukwepa kuukata mziizi wa fitina
Apigwe mfadhili wa kundi la M23 na hakutakuwa na vita tena Congo
Mungu Ibariki Tanzania, na Mungu ibariki Africa