Nchi zilizoendelea kama za Ulaya, Marekani na China huwa zinaongeza mishahara ya watumishi wa umma kila mwaka?

Huu ndio ukweli lakini watapinga...
 
Mwaka 2015 korosho kilo moja tuliuza kwa shs 3500-4000 na mwaka huu tumeuza kwa shs 2100-2200.

Mfuko wa Sulphur kwa ajili ya kupulizia mikorosho mwaka 2015 tulinunua shs 25000 na mwaka huu 2020 tumenunua kwa shs 35000-40000.

Hata gharama za ada katika shule mbalimbali za binafsi zimeongezeka kwa zaidi ya 50% ukilinganisha na mwaka 2015 lakini mishahara yetu watumishi wa serikali imebaki kuwa Ile Ile.

Siku nyingine kabla hujapost fanya utafiti kidogo usisukumwe na ushabiki wee bado kijana ukizeeka na tabia hii utakuwa mchawi.
 
Mwaka 2015 korosho kilo moja tuliuza kwa shs 3500-4000 na mwaka huu tumeuza kwa shs 2100-2200.

Mfuko wa Sulphur kwa ajili ya kupulizia mikorosho mwaka 2015 tulinunua shs 25000 na mwaka huu 2020 tumenunua kwa shs 35000-40000.

Hata gharama za ada katika shule mbalimbali za binafsi zimeongezeka kwa zaidi ya 50% ukilinganisha na mwaka 2015 lakini mishahara yetu watumishi wa serikali imebaki kuwa Ile Ile.

Siku nyingine kabla hujapost fanya utafiti kidogo usisukumwe na ushabiki wee bado kijana ukizeeka na tabia hii utakuwa mchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…