Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu

Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma.

Iran ilikuwa ni nchi nzuri sana kabla haijabadilishwa kuwa dola ya kiislam miaka ya 1970s, Leo hii imekuwa ni nchi ya kulazimisha wananchi kufuata misingi kandamizi ya kidini, uraibu unaotisha wa madawa ya kulevya, Wanawake wanauwawa kisa hawavai hijab, Wananchi wmechoka kuongozwa na sheria kandamizi za kidini karibu misikiti elf 50 imefungwa.

Iran imeona haitoshi imesambaa Lebanon kupitia Hezbollah, leo hii Hezbollah ina nguvu kuzidi serikali, Ile Lebanon iliyowahi kuwa Paris ya Mashariki ya kati imebaki kuwa story, nchi imeharibika.

Yemen ilikuwa ni nchi yenye matumaini ya kuweza kujijenga kiuchumi lakini Iran ilipojiiingiza tu hayo matumaini yameyeyuka, IMekuwa ni nchi inayoongozwa na Houthi wasio na mipango yoyote ya kuiendeleza Yemen, Wao ni kulala na kuamka na Jihad.


Palestina wakaipenyeza Hamas, Hakuna tena vyama vya siasa bali ni uongozi wa kimabavu, Pesa za kuboresha maisha zinaishia kuchimba mahandaki ya kujificha wao, hawajali maisha ya wananchi hata chembe.

Iran imejipenyeza Syria, Ni nchi ambayo kwa sasa haina tena matumaini ya kujirudi, viongozi hadi bajeti zimejikita zaidi kwenye ajenda za Iran kuishambulia Israel, Nchi haina future.


Kila nchi anayoingia Iran inaenda kuharibika ndio maana nchi kama Jordan, Saudi Arabia, UAE, zinajiweka pembeni kabisa ikibidi huwa wanawapa msaada Israel, wanajua vizuri kwamba Iran ukishamruhusu aingize mguu moja ndio mwanzo wa nchi kuharibika.
 
Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma.

Iran ilikuwa ni nchi nzuri sana kabla haijabadilishwa kuwa dola ya kiislam miaka ya 1970s, Leo hii imekuwa ni nchi ya kulazimisha wananchi kufuata misingi kandamizi ya kidini, Wanawake wanauwawa kisa hawavai hijab, Wananchi wmechoka kuongozwa na sheria kandamizi za kidini karibu misikiti elf 50 imefungwa.

Iran imeona haitoshi imesambaa Lebanon kupiti Hezbollah, leo hii Hezbollah ina nguvu kuzidi serikali ya Leanon nchi imeharibika.

Iran ikaona haitoshi ikaweka uongozi wake Yemen, Houthi wameiletea Yemen matatizo chungu nzima

Iran imesambaa Palestina kwa kuweka kikundi cha Hamasa kinachoikalia serikali kimabavu, huchumba mahandaki kujificha wao hawajali maisha ya wananchi hata chembe,

Iran imejipenyeza Syria what good has ut become ???

Kila nchi anayoingia Iran inaenda kuharibika ndio maana nchi kama Jordan, Saudi Arabia, UAE, zinajiweka pembeni kabisa na za chini kwa chini wanawapa msaada Israel/.
Umeona umepost kitu cha maana sana
 
Hamuwezi kuonea watu eti nyie ndio bora zaidi hao Israel na us wanataka wao tuu maslahi yao wengine wakae kimya hio dunia ya hivyo haipo hasa kwa uislam uliotimia, ananyenyekewa Mungu tuu haya majengo na mali tulivikuta Iran anawasaidia wajitambue sio kushikilia maslahi ya watu malipo yake kudhalilisha kuuawa na kudhulumiwa tu
 
Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma.

Iran ilikuwa ni nchi nzuri sana kabla haijabadilishwa kuwa dola ya kiislam miaka ya 1970s, Leo hii imekuwa ni nchi ya kulazimisha wananchi kufuata misingi kandamizi ya kidini, uraibu unaotisha wa madawa ya kulevya, Wanawake wanauwawa kisa hawavai hijab, Wananchi wmechoka kuongozwa na sheria kandamizi za kidini karibu misikiti elf 50 imefungwa.

Iran imeona haitoshi imesambaa Lebanon kupitia Hezbollah, leo hii Hezbollah ina nguvu kuzidi serikali, Ile Lebanon iliyowahi kuwa Paris ya Mashariki ya kati imebaki kuwa story, nchi imeharibika.

Yemen ilikuwa ni nchi yenye matumaini ya kuweza kujijenga kiuchumi lakini Iran ilipojiiingiza tu hayo matumaini yameyeyuka, IMekuwa ni nchi inayoongozwa na Houthi wasio na mipango yoyote ya kuiendeleza Yemen, Wao ni kulala na kuamka na Jihad.


Palestina wakaipenyeza Hamas, Hakuna tena vyama vya siasa bali ni uongozi wa kimabavu, Pesa za kuboresha maisha zinaishia kuchimba mahandaki ya kujificha wao, hawajali maisha ya wananchi hata chembe.

Iran imejipenyeza Syria, Ni nchi ambayo kwa sasa haina tena matumaini ya kujirudi, viongozi hadi bajeti zimejikita zaidi kwenye ajenda za Iran kuishambulia Israel, Nchi haina future.


Kila nchi anayoingia Iran inaenda kuharibika ndio maana nchi kama Jordan, Saudi Arabia, UAE, zinajiweka pembeni kabisa ikibidi huwa wanawapa msaada Israel, wanajua vizuri kwamba Iran ukishamruhusu aingize mguu moja ndio mwanzo wa nchi kuharibika.
Waache waendelee hivyo ili tuwatawale pumbavu zao
 
Hamuwezi kuonea watu eti nyie ndio bora zaidi hao Israel na us wanataka wao tuu maslahi yao wengine wakae kimya hio dunia ya hivyo haipo hasa kwa uislam uliotimia, ananyenyekewa Mungu tuu haya majengo na mali tulivikuta Iran anawasaidia wajitambue sio kushikilia maslahi ya watu malipo yake kudhalilisha kuuawa na kudhulumiwa tu
Israel ina haki ya kuwa nchi, yeyote anaetaka kuifuta ni Mshenzi

Israel ana kila haki ya kujilinda dhidi ya washenzi, Israel ina kila haki ya kuwaua washenzi
 
Israel ina haki ya kuwa nchi, yeyote anaetaka kuifuta ni Mshenzi, Shenziiiii kabisa.

Huyo Iran chini ya Ayatollah ni suala la muda tu,
Hata wapalestina wana haki ndio maana wamepigiwa kura na nchi Zaid 130+ huo ndio ule ubinafsi nilitoka kuposti apo juu kwamba yeye maslahi yake ni bora zaidi ya wengine
 
Hata wapalestina wana haki ndio maana wamepigiwa kura na nchi Zaid 130+ huo ndio ule ubinafsi nilitoka kuposti apo juu kwamba yeye maslahi yake ni bora zaidi ya wengine
umoja wa mataifa uliweka pendekezo la kuwepo nchi mbili mwaka 1947, kuwepo Palestina na Israel.

Waarabu upande wa Palestina walileta USHENZI walikataa !! walitaka ardhi yote iwe Palestina kusiwepo nchi ya Israel.

Huu ndio Ushenzi walioukataa Israel, Waarabu wakaanza vita ya kishenzi ya kutaka kuichukua ardhi yote iliyopewa Israel.

Israel ilijibu na inaendelea kuujibu huu Ushenzi kwa kutoa DOZI TAKATIFU.

Watu wote wanaotaka isiwepo Israel ni WASHENZIII !!! SHENZI KABISA !!!
 
Hamuwezi kuonea watu eti nyie ndio bora zaidi hao Israel na us wanataka wao tuu maslahi yao wengine wakae kimya hio dunia ya hivyo haipo hasa kwa uislam uliotimia, ananyenyekewa Mungu tuu haya majengo na mali tulivikuta Iran anawasaidia wajitambue sio kushikilia maslahi ya watu malipo yake kudhalilisha kuuawa na kudhulumiwa tu
Umesema UISLAMU? Si ni huyu huyu Iran juzi tu kafukuza Waislamu wenzie kutoka Pakistan na wengine kutoka Afghanistan? Usiseme uislam sema jamaa haelewi chochote zaidi ya dhehebu lake na SHIA, uwe muislam lakini kama hutokei kwa imamu Hussein kitukuu cha mtume, Iran wanakuona kama mpagani tu.
Mwisho; hapa duniani kuna taifa lolote la kiislam halafu lina amani? Yaani halipendi kupigana pigana? Somalia, Sudan hata huelewi hasa wanagombania nini, halafu wote dini moja. Nonsense
 
No
Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma.

Iran ilikuwa ni nchi nzuri sana kabla haijabadilishwa kuwa dola ya kiislam miaka ya 1970s, Leo hii imekuwa ni nchi ya kulazimisha wananchi kufuata misingi kandamizi ya kidini, uraibu unaotisha wa madawa ya kulevya, Wanawake wanauwawa kisa hawavai hijab, Wananchi wmechoka kuongozwa na sheria kandamizi za kidini karibu misikiti elf 50 imefungwa.

Iran imeona haitoshi imesambaa Lebanon kupitia Hezbollah, leo hii Hezbollah ina nguvu kuzidi serikali, Ile Lebanon iliyowahi kuwa Paris ya Mashariki ya kati imebaki kuwa story, nchi imeharibika.

Yemen ilikuwa ni nchi yenye matumaini ya kuweza kujijenga kiuchumi lakini Iran ilipojiiingiza tu hayo matumaini yameyeyuka, IMekuwa ni nchi inayoongozwa na Houthi wasio na mipango yoyote ya kuiendeleza Yemen, Wao ni kulala na kuamka na Jihad.


Palestina wakaipenyeza Hamas, Hakuna tena vyama vya siasa bali ni uongozi wa kimabavu, Pesa za kuboresha maisha zinaishia kuchimba mahandaki ya kujificha wao, hawajali maisha ya wananchi hata chembe.

Iran imejipenyeza Syria, Ni nchi ambayo kwa sasa haina tena matumaini ya kujirudi, viongozi hadi bajeti zimejikita zaidi kwenye ajenda za Iran kuishambulia Israel, Nchi haina future.


Kila nchi anayoingia Iran inaenda kuharibika ndio maana nchi kama Jordan, Saudi Arabia, UAE, zinajiweka pembeni kabisa ikibidi huwa wanawapa msaada Israel, wanajua vizuri kwamba Iran ukishamruhusu aingize mguu moja ndio mwanzo wa nchi kuharibika.
Nonsense
 
Kuna kipigo cha leo usiku mkuu yaani hao wote mpk wasamehewe wakiwa wameripoti kwa mabikra wao.
Nikiwa buza km kamanda israel no 1
 
Israel ina haki ya kuwa nchi, yeyote anaetaka kuifuta ni Mshenzi

Israel ana kila haki ya kujilinda dhidi ya washenzi, Israel ina kila haki ya kuwaua washenzi
This is the answer 👇👇👇
The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”
Jeremiah 30:3 - The Restoration of Israel and Judah
 
Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma.

Iran ilikuwa ni nchi nzuri sana kabla haijabadilishwa kuwa dola ya kiislam miaka ya 1970s, Leo hii imekuwa ni nchi ya kulazimisha wananchi kufuata misingi kandamizi ya kidini, uraibu unaotisha wa madawa ya kulevya, Wanawake wanauwawa kisa hawavai hijab, Wananchi wmechoka kuongozwa na sheria kandamizi za kidini karibu misikiti elf 50 imefungwa.

Iran imeona haitoshi imesambaa Lebanon kupitia Hezbollah, leo hii Hezbollah ina nguvu kuzidi serikali, Ile Lebanon iliyowahi kuwa Paris ya Mashariki ya kati imebaki kuwa story, nchi imeharibika.

Yemen ilikuwa ni nchi yenye matumaini ya kuweza kujijenga kiuchumi lakini Iran ilipojiiingiza tu hayo matumaini yameyeyuka, IMekuwa ni nchi inayoongozwa na Houthi wasio na mipango yoyote ya kuiendeleza Yemen, Wao ni kulala na kuamka na Jihad.


Palestina wakaipenyeza Hamas, Hakuna tena vyama vya siasa bali ni uongozi wa kimabavu, Pesa za kuboresha maisha zinaishia kuchimba mahandaki ya kujificha wao, hawajali maisha ya wananchi hata chembe.

Iran imejipenyeza Syria, Ni nchi ambayo kwa sasa haina tena matumaini ya kujirudi, viongozi hadi bajeti zimejikita zaidi kwenye ajenda za Iran kuishambulia Israel, Nchi haina future.


Kila nchi anayoingia Iran inaenda kuharibika ndio maana nchi kama Jordan, Saudi Arabia, UAE, zinajiweka pembeni kabisa ikibidi huwa wanawapa msaada Israel, wanajua vizuri kwamba Iran ukishamruhusu aingize mguu moja ndio mwanzo wa nchi kuharibika.
Kwani nchi ikiwa ya kiislam inawauma nini? Maana kila nchi ya kiislam mnaifanya adui na kupeleka machafuko na kutafuta sababu za kuvamia kisa dini yao?kwani lazima dunia nzima iwe ya kidemocrasia
 
Back
Top Bottom