Mkoba wa Mama
JF-Expert Member
- May 5, 2021
- 208
- 91
Kwa hali ilivyo hasa katika sekta ya elimu, afya, ulinzi na TEHAMA kuna uhaba mkubwa sana wa mtumishi.
Kwa nchi za Afrika hauwezi kusema kuna ukosefu wa ajira, hapana, changamoto iliyopo ni serikali hazina pesa ya kutosha kuajiri, baadhi ya sekta hasa nilizoorodhesa hapo juu kuna uhitaji mkubwa sana wa watumishi lakini kwa sasa inaonekana kama vile watumishi wapo wa kutosha kukidhi mahitaji kiasi cha serikali kushindwa kuajiri, lakini ukweli ni kwamba kati ya watumishi waliajiriwa katika sekta hizo pengine haifikii hata nusu ya mahitaji sahihi.
Nashauri serikali hasa za mataifa ya Afrika zifikilie namna sahihi na bora ya kushughulika na tatizo hili.
Kwa nchi za Afrika hauwezi kusema kuna ukosefu wa ajira, hapana, changamoto iliyopo ni serikali hazina pesa ya kutosha kuajiri, baadhi ya sekta hasa nilizoorodhesa hapo juu kuna uhitaji mkubwa sana wa watumishi lakini kwa sasa inaonekana kama vile watumishi wapo wa kutosha kukidhi mahitaji kiasi cha serikali kushindwa kuajiri, lakini ukweli ni kwamba kati ya watumishi waliajiriwa katika sekta hizo pengine haifikii hata nusu ya mahitaji sahihi.
Nashauri serikali hasa za mataifa ya Afrika zifikilie namna sahihi na bora ya kushughulika na tatizo hili.