BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
- #21
njoo pm nikupe muongozo mkuuCanada nawezaje kwenda mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo pm nikupe muongozo mkuuCanada nawezaje kwenda mkuu
Tz hapa private ni 750,000 basic. Sijui ishapanda.Tupe na tannzania Private analipwa shi ngapi?? Coplo, sargent, staff sargent,colocolo,luten usu, luten???? Wote ao bei gan wanalipwa??? Asume ndio wanaanza kazi.
Hata hivyo wana ration allowances na mambo lukuki.Tz hapa private ni 750,000 basic. Sijui ishapanda.
Usisahau na wanafanya siasa pia kusaidiana na ffuNa kazi wanafanya pia bongo hapa kujenga ukuta tu
Yeah.Hata hivyo wana ration allowances na mambo lukuki.
Fanya reseach yako vizuri mkuu!!Tz hapa private ni 750,000 basic. Sijui ishapanda.
Nipo tayari kurekebishwa mkuu.Fanya reseach yako vizuri mkuu!!
Mpaka upenye kwenye majeshi yao mkuu lazima uwe umefanya kazi ya ziadaKwa wale wanaotaka kujaribu maisha nje ya nchi katika sekta hii ya jeshi inaweza kuwasaidia hii
Australia - private anapokea Milioni 6 kwa mwezi
"Sajenti" anapokea Milioni 9 kwa mwezi
Canada - private anapokea milioni 5 kwa mwezi
Sajenti anapokea milioni 10 kwa mwezi
Lutenant anapokea milioni 6 kwa mwezi
Ireland - private anapokea milioni 5 kwa mwezi
sajenti anapokea milioni 7 kwa mwezi
lutenant anapokea milioni 7 kwa mwezi
NewZealand -private anapokea milioni 6 kwa mwezi
- sajenti anapokea milioni 9 kwa mwezi
- lutenant anapokea milioni 7 kwa mwezi.
UK(UINGEREZA)- private - milioni 4 kwa mwezi
-sajenti - milioni 8 kwa mwezi
- lutenant - milioni 8 kwa mwezi
USA - Private - milioni 4 kwa mwezi
- sajenti - milioni 5 kwa mwezi
- lutenant - milioni 7 kwa mwezi
Hapa hapajawekwa yafuatayo ambayo ni LAZIMA
* bonuses
*benefits
* allowances
* medical
*pension
* living expenses
* hazard pay
* hardship allowances
* field allowances
Nchi ya CANADA ndio inatajwa nchi inayolipa wanajeshi wake mshahara mkubwa duniani.
Acha dharau ndugu. hiyo ni inferiority complex.Hawa wa kwetu hawawafikii hata millitary dog / mbwa wa kijeshi wa ulaya!
Ina msaada gani sasa
poleni kwa stress !utumbo mtupu
waku scrutinize vya kutoshaMpaka upenye kwenye majeshi yao mkuu lazima uwe umefanya kazi ya ziada
Hakuna streespoleni kwa stress !
ni stress na sio strees!Hakuna strees