Pre GE2025 Nchimbi alipewa onyo kali huku wengine wakifuzwa uanachama kwa kumkataa Magufuli na Samia 2015. Kupitishwa kama Mgombea Mwenza wa Samia ni Mtego?

Pre GE2025 Nchimbi alipewa onyo kali huku wengine wakifuzwa uanachama kwa kumkataa Magufuli na Samia 2015. Kupitishwa kama Mgombea Mwenza wa Samia ni Mtego?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

1739201165776.png

Mwaka 2017 Dkt. Nchimbi alipewa onyo kali huku wanachama wengine wakivuliwa uachama kutokana na utovu wa nidhamu kwenye chama baada ya kumkataa Magufuli na kumsapoti Lowasa kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 - Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Nchimbi alipomkataa Magufuli automatically alikuwa amemkataa Samia pia. Leo hii Samia baada ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Magufuli, amepitishwa kuwa mgombea uchaguzi mkuu, huku Nchimbi akichaguliwa kama mgombea mweza?

Pia soma: Pre GE2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Kwanini? Ni kumkomesha alambe matapishi yake? Mchawi kapewa mwana alee? Au ni vile alivyosema Sarungi, kuwa amewekwa hapo kuuliwa kabisa kisiasa, akiwekwa hapo shughuli hakuna, kazi ni kutumwa tu kwenda kutabasamu kwenye mikutano akitoka hapo tunasikia amechoka sana "Ameomba kupumzika", shughuli imeisha?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Hiko chama kinajiendea tuu hakuna mipango zaidi ya kuiba kura.
Saivi ukikusanya watu kadhaa jimboni unakogombea ukawapa vi hela unapita bila kupigwa kwa Ccm🤣🤣
Noma sana.... Samia kama mgombea kunafanya watumie nguvu kubwa kufanya umma umkubali
 
Wakuu,


Mwaka 2017 Dkt. Nchimbi alipewa onyo kali huku wanachama wengine wakivuliwa uachama kutokana na utovu wa nidhamu kwenye chama baada ya kumkataa Magufuli na kumsapoti Lowasa kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 - Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Nchimbi alipomkataa Magufuli automatically alikuwa amemkataa Samia pia. Leo hii Samia baada ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Magufuli, amepitishwa kuwa mgombea uchaguzi mkuu, huku Nchimbi akichaguliwa kama mgombea mweza?

Pia soma: Pre GE2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Kwanini? Ni kumkomesha alambe matapishi yake? Mchawi kapewa mwana alee? Au ni vile alivyosema Sarungi, kuwa amewekwa hapo kuuliwa kabisa kisiasa, akiwekwa hapo shughuli hakuna, kazi ni kutumwa tu kwenda kutabasamu kwenye mikutano akitoka hapo tunasikia amechoka sana "Ameomba kupumzika", shughuli imeisha?
Umesahau hata Samia naye aliwekwa hapo hapo kama pambo tu, lakini baadaye akaja kuwa rais?
 
Umesahau hata Samia naye aliwekwa hapo hapo kama pambo tu, lakini baadaye akaja kuwa rais?
By accident (though wanasema hakuna accident) na kipindi kile walihitaji change ili kupata kura, hata Magu mwenyewe alisema Samia hakuwa chaguo lake... isingekuwa uoga na uchawa huko chamani, Samia angeendelea kubaki kweli?
 
Unaona atakuwa na nguvu/ushawishi hapo alipo?
Haitakua nao, ila yatakua pia na lakupoteza.

Nadhan katika Maono yake ,hiyo kisisa nahatua kubwa mno maishani mwake.

CCM imeishiwa watu japo wazuri wapi ila wanatengwa kwa kivuli Cha makundi.

Embu fikiria, inawezekana kwamba Hawa watu walikua wameshajipanga Mgombea awe Samia, mwenza awe Nchimbi?
 
Kuna kitu unataka kujua humu mi Nina nadharia zangu!nadharia!!

1.Nchimbi ni kachero alietumika kumuingiza jpm madarakani Kwa ku spin Kambi ya Lowasa kipindi kile na sasa anatumika kama sleeping ..... Ili kufanikisha malengo ya dola mind you the state haitaki mama aendelee coz amevunja makubaliano yaliyowekwa!kwahiyo nchimbi ni joker lilofichwa!

2.Nchimbi atatumika kama msaidizi wa ccm B kuingizwa madarakani kwa mlango wa nyuma kama tukiingia kwenye uchaguzi na Ile mission haijakamilika elewa neno mission!yaani kama watashindwa kurudi chimwaga kuteua mgombea mpya bas itabidi ccm B iende upinzani ishinde ikiwa huko huko na nchimbi atumike kama game changer akiwa chama tawala kama alivyotumika kipindi akiwa Kambi ya lowasa!

Najaribu!
Wakuu,


Mwaka 2017 Dkt. Nchimbi alipewa onyo kali huku wanachama wengine wakivuliwa uachama kutokana na utovu wa nidhamu kwenye chama baada ya kumkataa Magufuli na kumsapoti Lowasa kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 - Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Nchimbi alipomkataa Magufuli automatically alikuwa amemkataa Samia pia. Leo hii Samia baada ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Magufuli, amepitishwa kuwa mgombea uchaguzi mkuu, huku Nchimbi akichaguliwa kama mgombea mweza?

Pia soma: Pre GE2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Kwanini? Ni kumkomesha alambe matapishi yake? Mchawi kapewa mwana alee? Au ni vile alivyosema Sarungi, kuwa amewekwa hapo kuuliwa kabisa kisiasa, akiwekwa hapo shughuli hakuna, kazi ni kutumwa tu kwenda kutabasamu kwenye mikutano akitoka hapo tunasikia amechoka sana "Ameomba kupumzika", shughuli imeisha?
Una
 
By accident (though wanasema hakuna accident) na kipindi kile walihitaji change ili kupata kura, hata Magu mwenyewe alisema Samia hakuwa chaguo lake... isingekuwa uoga na uchawa huko chamani, Samia angeendelea kubaki kweli?
Naona Watanzania wengine hamjajifunza kutokana na kifo cha Magufuli somo la kwamba cheo cha Makamu wa Rais ni cheo muhimu, na mtu anayekuwa Makamu wa Rais anaweza kuwa rais dakika yoyote.

Mnarudi kulekule kabla ya Magufuli kufariki kuona cheo cha Makamu wa Rais ni pambo tu.
 
Back
Top Bottom