Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
ccm ni ukoo wa fisi. Wote ni wale wale
Hivi vichekesho huwa vinapatikana wapi mkuu?Nchimbi ndiye Rais ajaye baada ya Mama kumaliza muhura wake
Hii imekaa vizuri!Kuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi.
Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na Ally Happi atatolewa Chamani na kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
Hakika Dkt Nchimbi anatufaa, ni our next Babas wa Taifa! Ana hekima ya juu sana. Nimemfuatilia sana nikaja kuona anafaa sana kuwa rais wa JMT. Mungu amlinde!Nchimbi ndiye Rais ajaye baada ya Mama kumaliza muhura wake
Hata maghufuli afufuke na kurudi kugombea 2025 ,kipigo kipo palepale ccm inaondoka 2025 ,uchaguzi ukifanyikaKuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi.
Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na Ally Happi atatolewa Chamani na kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha