johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati mwingine mwenendo wa kesi na ushahidi vinakupa majawabu mwisho wa kesi utakavyokuwa.
Ndio Israel ili kutopoteza rasilimali muda na fedha za walipakodi wakatoa fursa ya kumaliza kesi pale Jaji na marafiki wa mahakama watakapojiridhisha ushahidi "uliokwisha" tolewa unatosha kujenga MAAMUZI.
Nadhani wanasheria wa Tanzania tujielekeze huko hii dunia inaenda kasi sana akina mama muuza mbege nyakati nyingine wanapoteza muda tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ndio Israel ili kutopoteza rasilimali muda na fedha za walipakodi wakatoa fursa ya kumaliza kesi pale Jaji na marafiki wa mahakama watakapojiridhisha ushahidi "uliokwisha" tolewa unatosha kujenga MAAMUZI.
Nadhani wanasheria wa Tanzania tujielekeze huko hii dunia inaenda kasi sana akina mama muuza mbege nyakati nyingine wanapoteza muda tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!