johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sheria za huku ni za kukomoa watu na siyo kujenga au kurekebishaWakati mwingine mwenendo wa kesi na ushahidi vinakupa majawabu mwisho wa kesi utakavyokuwa.
Ndio Israel ili kutopoteza rasilimali muda na fedha za walipakodi wakatoa fursa ya kumaliza kesi pale Jaji na marafiki wa mahakama watakapojiridhisha ushahidi " uliokwisha" tolewa unatosha kujenga MAAMUZI.
Nadhani wanasheria wa Tanzania tujielekeze huko hii dunia inaenda kasi sana akina mama muuza mbege nyakati nyingine wanapoteza muda tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ni sayari 2 tofauti kabisaIsrael na Tanzania....wapi na wapi!!
Kama hii ya Mbowe ingeshafutwa mapema snWakati mwingine mwenendo wa kesi na ushahidi vinakupa majawabu mwisho wa kesi utakavyokuwa.
Ndio Israel ili kutopoteza rasilimali muda na fedha za walipakodi wakatoa fursa ya kumaliza kesi pale Jaji na marafiki wa mahakama watakapojiridhisha ushahidi " uliokwisha" tolewa unatosha kujenga MAAMUZI.
Nadhani wanasheria wa Tanzania tujielekeze huko hii dunia inaenda kasi sana akina mama muuza mbege nyakati nyingine wanapoteza muda tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kwa CCM hii ili tuifikie Israeli tutahitaji miaka 100 mbele afu wao wasifanye kitu wawe wanatusubiria.Israel na Tanzania....wapi na wapi!!
hapa kwetu Mahakama zetu zenyewe bado zimeng'ang'ania kutumia lugha ya kiingereza ktk kutoa Haki za wazawa watanzania!!Wakati mwingine mwenendo wa kesi na ushahidi vinakupa majawabu mwisho wa kesi utakavyokuwa.
Ndio Israel ili kutopoteza rasilimali muda na fedha za walipakodi wakatoa fursa ya kumaliza kesi pale Jaji na marafiki wa mahakama watakapojiridhisha ushahidi " uliokwisha" tolewa unatosha kujenga MAAMUZI.
Nadhani wanasheria wa Tanzania tujielekeze huko hii dunia inaenda kasi sana akina mama muuza mbege nyakati nyingine wanapoteza muda tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Nimekuelewa bwashee!hapa kwetu Mahakama zetu zenyewe bado zimeng'ang'ania kutumia lugha ya kiingereza ktk kutoa Haki za wazawa watanzania!!
hayo tu ni maajabu na utumwa wa kifikra.
Unapo zungumzia kutoa Haki kwa uwazi na kwa wakati nyezo kuu ya kufanikisha hayo ni kwa kutumia Lugha ya Kiswahili na sio kujidanganya na kizungu.
Mungu anakuona kwa rangi ya ukinyonga uliyojivika.hapa kwetu Mahakama zetu zenyewe bado zimeng'ang'ania kutumia lugha ya kiingereza ktk kutoa Haki za wazawa watanzania!!
hayo tu ni maajabu na utumwa wa kifikra.
Unapo zungumzia kutoa Haki kwa uwazi na kwa wakati nyezo kuu ya kufanikisha hayo ni kwa kutumia Lugha ya Kiswahili na sio kujidanganya na kizungu.