Nchini kenya wabunge ni lazima wawe na shahada

lupy

Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
50
Reaction score
33
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo
 
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo


Hii ikija Tanzania tutapoteza Wabunge sana hasa chadema kuanzia Mbowe, Lisu Tundu mpaka akina Msigwa nje!
 
Hii ikija Tanzania tutapoteza Wabunge sana hasa chadema kuanzia Mbowe, Lisu Tundu mpaka akina Msigwa nje!
Badala ya kutaja kina Kibajaji wewe unakimbilia kwa kina Mbowe. Shahada kwenye siasa ni kiashiria cha nini. Hizo shahada zitasaidia vipi kufanya wakenya waache siasa zao zilizojikita kwenye ukabila?

Sijui Waafrika ni nani aliyetuloga. Yaani mpaka leo kuna waafrika wanadhani kushindwa kwetu kufikia malengo ya kimaendeleo tunayojiwekea ni kwa sababu ya kutokuwa na wanasiasa wasio na shahada?
 
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo
Kenya wana uzalendo hasa linapo kuja swala la kitaifa lakin tanzania tuna ubinafsi hasa tunapo jadili mambo ya kitaifa na hilo ndio litakalo sababisha nchi hii isiendelee kamwe.
 
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo

Kibajaji na wengine watapata pressure
 
Ni jambo jema sana. Itapunguza wale wanaotumia muda wa bunge kulilia kofia aliyonyang'anywa na mwanamke nje ya bunge
 
Hii ikija Tanzania tutapoteza Wabunge sana hasa chadema kuanzia Mbowe, Lisu Tundu mpaka akina Msigwa nje!
Unakurupuka bro, mbowe ana shahada, lisu ndo isiseme na huyo msigwa anajiwe pia, nikukumbushe tz ili ugombee uraisi elimu ni lazima kuanzia shahada, kikatiba kasome usiwe mvivu, mbowe aligombeaje Urais 2005?
 
we unafikiri wabunge wa ccm watakubali kupitisha huo muswada? ata wapewe milion kumi hawatokubali
 
Unakurupuka bro, mbowe ana shahada, lisu ndo isiseme na huyo msigwa anajiwe pia, nikukumbushe tz ili ugombee uraisi elimu ni lazima kuanzia shahada, kikatiba kasome usiwe mvivu, mbowe aligombeaje Urais 2005?
labda mbowe ana shahada ya kupigia kura tu.2005 hiyo sheria inayomtaka mgombea awe na shahada ilikua haijaanza kutumika.Halafu unaweza kupata cheti cha form four cha mbowe?nakupa laki fasta
 
Hapa wanahitaji shahada tu, hawataki kujua ulipita au la, hio Ni sababu Yale maisha ya chuo kukuu Hua yanafungua mtu skili, anakia Na uwezo wa kuongea vizuri, kufikiria zaidi...Na mengineo


Ability to Make Better Choices
Earning a college degree enables people to to make better choices the rest of their lives. Not only does a college education provide an individual with new knowledge and information, it teaches them how to think critically, how to break apart and reconstruct complex issues, and how to solve problems. Earning a college degree helps people make better choices about everything from mortgage rates to investment plans to launching a new business.

Ability to Communicate More Effectively
A college degree also has a very positive impact on an individual’s written and verbal communication skills. Of all the benefits provided by earning a college degree, this is one of the most valuable. Communication skills will influence just about every aspect of your life. The ability to communicate clearly, concisely, and persuasively with help you land the perfect job, improve your career advancement opportunities and enhance your interpersonal relationships with family members and associates.



Kwa mfano ngalia hili jimbo la Kilifi, jambo la kwanza wabunge wa jimbo la Kilifi MCAs walilofanya Ni kuanza kujadiliana Ku ban minisketi Na wanaume wanaovaa suruali chini ya kiuno Bill to ban mini-skirts in Kilifi in its final stages : Jambonewspot.com
Kilifi County Ni kubwa Sana, maeneo ya ndani ndani Ni Mmoja wapo ya maeneo ya mashambani maskini zaidi Kenya nzima, badala ya hawa ma MCA kujishughulisha Na majadiliano ya kuinua maisha ya watu walipoteza miaka miwili ya kwanza wakijadiliana Ni gari aina ghani watakalo pewa, Na Kama litakuja Na dereva wake Na mlinzi.......walipokatazwa wakatishia ma govana wao impeachment, ikabidi wapewe wana hotaka kisha wakaongezewa pesa za trip za kuenda nchi za kigeni kutembea... Kama wangekua walienda chuo kikuu Na wako Na shahada huu ushamba wote ungeopotea.... ...kitu Kama gari ngekua Ni jambo dogo Sana kwao..... Wengine wao hadi sasa hawajui hats kupitisha sheria au kuongea kibunge, kila wakisimama kuongea wanakosolewa Na spika kwa kuvunja sheria za bunge
 
Huku kwetu wabunge walisema hata darasa la saba sawa, ila dreva wa mbunge lazima awe form 4 na kuendelea.
 
Tanzania tuna assume leaders are born not made but in Kenya wanaamini leaders are made. Wenye degree wengi Tanzania hawawezi uongozi kwasababu our education is too theoretical. Hatufundishwi kuwa viongoz na kujitegemea but tunafundishwa kukariri na kufaulu UE
 
Kenya wana uzalendo hasa linapo kuja swala la kitaifa lakin tanzania tuna ubinafsi hasa tunapo jadili mambo ya kitaifa na hilo ndio litakalo sababisha nchi hii isiendelee kamwe.
Kenya wana uzalendo ???!!!!??? Hakika Nilikuwa silijui hili, mi nilikuwa nadhani hadi sasa Kenya ni nchi tu si taifa, hivyo uzalendo wa kitaifa hawajafikia. Asante kwa taarifa.
 
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo
Lazima Hapa kwetu tubadilishe wanamajungu bungeni kwa kupisha shahada pia!!
 
Hl litasaidi kuondolewa kama Yule aliyeomba sanamu LA pale katkat ya jj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…