Form is a temporal class is permanent. Mpira wanaocheza timu ya taifa kipindi hiki ni mzuri sana mapungufu ni kidogo tu tulikuwa tunalaumu washambuliaji kuto kufunga lakin jana tatizo limeonekana viungo ndio tatizo la taifa letu Back line ya timu umeijenga vizuri sana kwa kuwaweka nondo na nyoni. Nyoni alimtuma kazi nondo na nondo akaitekeleza kwa umakini mkubwa
Pongezi kwa kipa alijitahidi kuzuia vizuri ila endelea kumpa material's ya kutosha footwork yake haijawa vizuri kwenye kuanzisha mashambulio na pia timing yake inachelewa kidogo,hayo mambo akiwa klabuni kwake hayafanyiki kwa asilimia kubwa kama mpira halisi wa kisasa unavyotaka
Nimegunduwa viungo wetu wengi wanapenda kukaba kuliko kushambulia ukimtoa Farid Musa wengine wanapenda kupooza mpira wakisha pokea yaani wanalelax ndio maana mipira haiwafikii vya kutosha forwardline
But we are on right track
Akija libya hapa lazma akae tukienda kule equatorial guinea point ni za kwetu waziwazi tunisia naipa 50/50 kwakuwa hawa wenzetu wako miles nyingi mbele yetu,imani yetu tutawafunga kwa mkapa
Timu yako inacheza kwa viwango vinavyo eleweka wewe ni kocha unaetakiwa kuwepo hapo kwa kipindi kirefu kuliko kocha yeyote yule kwa maana taifa linakuhitaji kwa wakati huu muhimu wa kujenga brand ya hii nchi
Wewe ni mbegu iliyo bora kabisa
Pongezi kwa kipa alijitahidi kuzuia vizuri ila endelea kumpa material's ya kutosha footwork yake haijawa vizuri kwenye kuanzisha mashambulio na pia timing yake inachelewa kidogo,hayo mambo akiwa klabuni kwake hayafanyiki kwa asilimia kubwa kama mpira halisi wa kisasa unavyotaka
Nimegunduwa viungo wetu wengi wanapenda kukaba kuliko kushambulia ukimtoa Farid Musa wengine wanapenda kupooza mpira wakisha pokea yaani wanalelax ndio maana mipira haiwafikii vya kutosha forwardline
But we are on right track
Akija libya hapa lazma akae tukienda kule equatorial guinea point ni za kwetu waziwazi tunisia naipa 50/50 kwakuwa hawa wenzetu wako miles nyingi mbele yetu,imani yetu tutawafunga kwa mkapa
Timu yako inacheza kwa viwango vinavyo eleweka wewe ni kocha unaetakiwa kuwepo hapo kwa kipindi kirefu kuliko kocha yeyote yule kwa maana taifa linakuhitaji kwa wakati huu muhimu wa kujenga brand ya hii nchi
Wewe ni mbegu iliyo bora kabisa