Unapolijua tatizo ndipo unapaswa kuandaa mipango ya kulitatua tatizo lako.
Ila nashangaa timu hii inavyoongozwa bila ubunifu na ushirikishwaji wa wananchi na wadau wa soka hapa Mtwara.
Mmejidhalilisha kuomba msaada kwa JK. Na msaada alioahidi wa kuwapatia jezi si msaada fanisi katika maendeleo ya soka ya timu hiyo.
Timu imahitaji pesa za ili mambo yawe sawa.
Nashauri timu itangaze namba za simu ambazo zina huduma za pesa ili watu wanaoguswa watume pesa kwa lengo la kuisaidia klabu. Wadau tupo wengi na tunahitaji Ndanda FC iendelee kuwa bora. Tutaichangia.
Tangazeni redioni na katika Tv
Ila nashangaa timu hii inavyoongozwa bila ubunifu na ushirikishwaji wa wananchi na wadau wa soka hapa Mtwara.
Mmejidhalilisha kuomba msaada kwa JK. Na msaada alioahidi wa kuwapatia jezi si msaada fanisi katika maendeleo ya soka ya timu hiyo.
Timu imahitaji pesa za ili mambo yawe sawa.
Nashauri timu itangaze namba za simu ambazo zina huduma za pesa ili watu wanaoguswa watume pesa kwa lengo la kuisaidia klabu. Wadau tupo wengi na tunahitaji Ndanda FC iendelee kuwa bora. Tutaichangia.
Tangazeni redioni na katika Tv