dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
[emoji3] [emoji3] haya kipenz naitoaasante kipenzi mm sijpenda hyo yako ibadil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeniudhi sana, kwanini hukwenda mpaka mwisho wa daladala?
Matokeo yake umetupa story nusu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio uwe makini mamii
"MSAMBWANDA"Raha kusimama nyuma ya msambwanda, tatizo daladala inawahi kufika kituoni!
Ntazidi kuwa makiniNdio uwe makini mamii
Dawa ya mtu anayekikanyaga usimwambie toa mguu wako taratibu alafu kanyaga juu yake akiongea mkazie macho mwambie kwani Ww ulikanyaga jiwe?Yan unabaki unashangaa yote ya nn kumbe mwenzio alikua anatafta sababu atoe lililopo moyoni
Huwa tuna wivu wa asili though huwa tunajifanya waungwanaHapa huwa ndio huwa nachoka, hata kama kosa ni la dereva wa daladala abiria wote tunaungana na dereva kumtolea povu mwenye gari ndogo!
Huwa najikuta tu nyuma ya msambwanda.....πππKoh! Koh! Koh! Maneno yako yamenipalia [emoji4]
Misambwanda inanibanaga sana mwendokasi. Huwa natuliza tu mashine na kusikilizia, akishuka mtu na yeye kusogeza msambwanda nawe unamsogezea, ila nafikiri nao wanategeshaga!Raha kusimama nyuma ya msambwanda, tatizo daladala inawahi kufika kituoni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mkaka nilimuona kwenye daladala anaperuzi JF full kujishtukia nikamwangalia sura na kumpotezea sijui kwann JF haimpi mtu uhuru wa kuchat hadharan,mie hata haus gel asiyemiliki simu simuamin kama hayupo humu,najificha tu[emoji23][emoji23]
Okey nimekuelewa sana maana utamu ni kitu kingine, sina neno.Nilikuwa naenda gedega toto jeuri moja hv, iliyokuwa inanizungusha na papuch yake km maandamano ya Mangekimambi na Sirro