Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Kuna wale wanaoingia na nguo zilizokatwa mikono(design ya vest) af akisimama akashika chuma anaachia makwapa yake,hua natamani kutapika
Im frequent daladala rider....Hahaha we unatumia daladala kweli au swag tu boss wangu?
Nyie ndo madunga dunga yenyewe, unang'ang'ana mbele husogei nyuma husogei utazania umekanyaga supaglu iliyomwagikaRaha kusimama nyuma ya msambwanda, tatizo daladala inawahi kufika kituoni!
Naona kila mtu anajidai mpanda daladala. Wewe unapanda la wapi? Daladala kiboko za m'nyamala ikifika pale A abiria mnabaki wawili wanaingia mateja 10 akili kichwani hapoTupo mkuu tumejaa
Sio kujidai rrondo huo ndio ukweli mm nap and a mwendokasi naelekea mbeziNaona kila mtu anajidai mpanda daladala. Wewe unapanda la wapi? Daladala kiboko za m'nyamala ikifika pale A abiria mnabaki wawili wanaingia mateja 10 akili kichwani hapo
Kuna mtu mwenye haraka kuliko konda? Asubuhi hamna chenjiHujakutana na makonda wa daladala wewe,atakuweka kituoni mpaka apate chenji.
Hivi mwendokasi kuna drama kama hizi zetu kawe-mbagala rangi tatu?Sio kujidai rrondo huo ndio ukweli mm nap and a mwendokasi naelekea mbezi
Drama za mbagala zimezidi sanaHivi mwendokasi kuna drama kama hizi zetu kawe-mbagala rangi tatu?
Wengine tumezoea daladala baiskeliTupo wachache si unaona replies zilivyo kidoogo.
Kuna siku nimepanda daladala mzee mmoja kalewa ananiuliza kwanini simuoi binti wake amesoma ana masters ila yuko home tu anaangalia tv!Drama za mbagala zimezidi sana
Hahaha ukamjibu vipi sasaKuna siku nimepanda daladala mzee mmoja kalewa ananiuliza kwanini simuoi binti wake amesoma ana masters ila yuko home tu anaangalia tv!
Ha ha ha nilikosa jibu....akaenda mbali zaidi eti kama shida ni mahari atapokea yoyote! Kuna vituko kwenye daladalaHahaha ukamjibu vipi sasa
Hivi mtu akiwa na gari hapandi daladala? Au wote wapandao daladala hawana magari?Kumbe jf watu wanapanda daladala,,nasikiaga humu kila mtu anamiliki ndinga kali
Unanikumbusha mbaali sana, enzi flani nikiwa Mgulani j... Jioni wakati wa kurudi, magari ya mbagala yalikuwa ya shida sana, yaani wakati wa kupanda mnagombania na unaweza kuingizwa ndani kwa kubebwa juu juu, mtajikuta midume mitupuHivi mwendokasi kuna drama kama hizi zetu kawe-mbagala rangi tatu?