Hujawahi kupitia dirishani?Unanikumbusha mbaali sana, enzi flani nikiwa Mgulani j... Jioni wakati wa kurudi, magari ya mbagala yalikuwa ya shida sana, yaani wakati wa kupanda mnagombania na unaweza kuingizwa ndani kwa kubebwa juu juu, mtajikuta midume mitupu
Au gari la shemeji hilo[emoji23] [emoji23] gari lenyewe la mkopo hii hua naitamka sana hii
Kwanini mkuuNazikubali sana daladala za SIMU2000 - MAKUMBUSHO via UDSM!
Ila kukiwa na mchongo lakini kama hapaeleweki ni shida yaani dereva anataka kuondoa gari yeye anamwambia subiri kuna abiria anakuja sasa hiviKuna mtu mwenye haraka kuliko konda? Asubuhi hamna chenji
Pole dia, ila umejua kunichekesha sanaUmenicheka had nimeona aibu
Shemu huwa nakupenda bure eti...bro yu wapi leo?Pole dia, ila umejua kunichekesha sana
Asanteh shemejiii, broo wako nimemuacha kwenye siasa hukoShemu huwa nakupenda bure eti...bro yu wapi leo?
Hahaha cheka mwaya uongeze siku za kuishiPole dia, ila umejua kunichekesha sana
Dah! hawa huwa wanakera mno, na miongoni mwao ni makondakta wenyewe anafanya kazi kutwa nzima na nguo iliyokatwa mikono, basi akipita kukusanya pesa kwenye gari iliyojaa ni raha tupuKuna wale wanaoingia na nguo zilizokatwa mikono(design ya vest) af akisimama akashika chuma anaachia makwapa yake,hua natamani kutapika
Kuna wakat nilikuwa nafanya hivo ili ku balance mkanyagano.Watu kama hao inabidi umkanyage yeye makusudi
Mbaya zaidi unaweza kushuka kituo sio chako au kupitiliza kituo chako ili upate namba!Ndo sehemu nzuri ya kuchukua namba za simu za warembo. Ukiwa na privee hupati fursa hii
Nshashuka sana vituo ambavyo havikupangwa.Mbaya zaidi unaweza kushuka kituo sio chako au kupitiliza kituo chako ili upate namba!
nakumbuka kipindi nimepiga iyo kaziRaha kusimama nyuma ya msambwanda, tatizo daladala inawahi kufika kituoni!