Hatari saana naukumbuka mziki wake Ng'oksiKumbe ulikuwa NG'OKS mkuu?
HaswaaaHakujiona kama amezeeka na gari imejaa hatoweza kusimama wee tusikerane kabisaa[emoji57]
AAh tumwachie Muumba afanye atakavyo mkuu
kule kumedorora sikuhz mbona leo nilikwepo sijakuona au unapitaga kimya kimya
basi badae ukujeeNapita kimya.
Mpaka nikikuona ndo nachangia, sijakuona muda sana, leo sijaja.
basi badae ukujee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha au wakuambie kama ungekua na haraka ungekwenda tangu jana unakoenda daladala zina vituko sana nakumbuka siku hiyo alipanda mlevi, sasa tulikua tunaelekea home hapo bado tukiwa mbali sana kufika home, vituo kama vinne mbele walokua wanaingia wadada tu na ndani ya daladala alikua yeye dereva na konda ndio wanaume tulipofika kituo cha mbele tena akaingia msada tena yule mlevinakapaza saut dereva hii gar ni ya wanawake tu?? Hakuna aliemjibu tulipofika stand akaingia mkaka kwa zile pombe akaropoka tena hee dereva nishushe hili gar la wanawake mnanipeleka wapi, yan mwanaume peke yangu tu humu ndan dereva akamjib kwa hiyo me pia mwanamke akasema gari zima wawake tunaenda wapi nilicheka sana that day
Inna huyu ni ndg yangu ukimpa si neno lkn[emoji8]basi badae ukujee
Ntakuja aisee.
Hahah wale wenye nafsi zetu ngumuHakujiona kama amezeeka na gari imejaa hatoweza kusimama wee tusikerane kabisaa[emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AiseehRaha kusimama nyuma ya msambwanda, tatizo daladala inawahi kufika kituoni!
[emoji23] [emoji23] kuna vitu vinachosha mkuu acha tu mtu anajijua amezeeka au amebeba mtoto na gari imejaa hata kuhema shda nae anaingia akitegemea atapishwa nyoookoooHahah wale wenye nafsi zetu ngumu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa bhana bas chagua mmoja apewe kat yako na yyInna huyu ni ndg yangu ukimpa si neno lkn[emoji8]
Aiseeh hiyo ilishawahi kunikuta, nilipata shida sana aiseeh kwapa limeweka rangi ya brown kwa uchafu sijui hayaliosha kwa muda gani, alooh sitakaa nisahau hii kitu aiseeh nilifika naumwa kichwa kwa harufu ile mbaya zaidi sikuwa na pakusegezea kichwa. Kuna watu wa ajabu sana.Kuna wale wanaoingia na nguo zilizokatwa mikono(design ya vest) af akisimama akashika chuma anaachia makwapa yake,hua natamani kutapika
Halafu alie mbele yako anageuka kukutazama kiaina....πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aiseeh
kumbe huwa mnavumilia mengiJuzi kati nimepanda UDART. Bas kulikuwa mshua mmoja anakanyaga popote pale iwe ni juu ya mtu au juu ya mguu wa mtu, kwake sawa tu. Ikabidi nisimamie mguu mmoja halafu mguu mwingine unashuka kwa machale pale napopata upenyo.
Minywele yako wewe shida utupe sisi...majanga!Yani huyo mfunga vioo ni mimi kabisa. Sema nitaacha
Aisee!Kuna siku nilimuwekea mdada mzigo wa poombu begani I makusudi kabisa Mimi nimesimama ye kakaa nilikua namuona tuu pumzi zinavyokata, anahema juu juu akashyka mtu akasogea nilivyokaa nikamwambia polee tulikuwa tumebanana sana, akaishia kucheka tukaendelea na story nyingine