Ndani ya Daladala!......

Ndani ya Daladala!......

Sijui kwa nn siku za j.pili asbh kuna watu wakipanda daladala wanasinzia haoo hadi udendaa!!
 
unawezakuta mtu anakukanyaga unamwambia ile kiustaarabu bro unanikanyaga anakuambia, ukitaka raha panda tax....wtf, yani unanikanyaga nivumilie tu maumivu kisa ni usafiri wa public
 
Back
Top Bottom