du!Angalia usipate ajali kwa kuweka hisia kuwa uko na mwanamke kumbe umebeba nguo za mtumba unapeleka kwenu.
Vingine ni vya siri mkuuYan katika safari yote hyo umeona sindiria tu mkuu,tupe na mengine ya njiani.vp ujakutana na nyanya na vitunguu vya njiani mbovu maana wale ni wataalamu wa kubambikiza nyanya na vitunguu.
Hivi kakala club bado inabamba?Nakumbuka mgonjwa wa ulcers alizidiwa tukateuliwa mimi na binti mmoja hivi tufuate chakula, nikamwambia yule binti tupitie kwanza kwangu nibadili nguo ndiyo tufuate chakula halafu turudi hospitali ya Kakala.
Kufika kwangu na Kigamboni umeme ulivyokua unapenda kukatika tukajikuta tupo gizani nikaamua kuvua nguo pale pale kwakua hawezi kuniona.
Baada ya nguo kuvuka sasa, daaah. Mgonjwa alitusamehe kwakweli.
Hivi kakala club bado inabamba?Nakumbuka mgonjwa wa ulcers alizidiwa tukateuliwa mimi na binti mmoja hivi tufuate chakula, nikamwambia yule binti tupitie kwanza kwangu nibadili nguo ndiyo tufuate chakula halafu turudi hospitali ya Kakala.
Kufika kwangu na Kigamboni umeme ulivyokua unapenda kukatika tukajikuta tupo gizani nikaamua kuvua nguo pale pale kwakua hawezi kuniona.
Baada ya nguo kuvuka sasa, daaah. Mgonjwa alitusamehe kwakweli.
Kipindi nipo kule ilikua inabambaHivi kakala club bado inabamba?